WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Unazijua kanuni za biashara lakini?
Fikiria yafuatayo:
Anakupa pesa na uwe umerudisha ndani ya kipindi kifupi sana na 15% ya profit!Maana yake ni kwamba amejihakikishia profit ndani ya hicho kipindi kifupi bila risk ( ukiacha risk ya kukuamini wewe).
Ukipiga hesabu utagundua wewe uliyekopeshwa umegeuzwa mradi na huyo mkopeshaji.
Watanzania hebu tuache uvivu wa kufikiri na tuache kutaka vya rahisi - bure ni ghali sana!
Fikiria yafuatayo:
Anakupa pesa na uwe umerudisha ndani ya kipindi kifupi sana na 15% ya profit!Maana yake ni kwamba amejihakikishia profit ndani ya hicho kipindi kifupi bila risk ( ukiacha risk ya kukuamini wewe).
Ukipiga hesabu utagundua wewe uliyekopeshwa umegeuzwa mradi na huyo mkopeshaji.
Watanzania hebu tuache uvivu wa kufikiri na tuache kutaka vya rahisi - bure ni ghali sana!