Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Binafsi nilifikiria sana maamuzi ya kuacha pombe.....!
LAKINI KATIKA PILIKA PILIKA ZA MAISHA nilikutana na ''mchungaji''!huyu mpakwa mafuta ana kanisa lake BOKO....!
huyu bwana mkubwa tunamuita ''MZEE WA BONETI''....
alinishawishi sana kuendelea kunywa ''kwa namna alivyokuwa akiuendesha uchungaji wake''....
nipo zero pabu hapa tegeta nakunywa valuu na mchungaji EIKEIEI MZEE WA BONETI
LAKINI KATIKA PILIKA PILIKA ZA MAISHA nilikutana na ''mchungaji''!huyu mpakwa mafuta ana kanisa lake BOKO....!
huyu bwana mkubwa tunamuita ''MZEE WA BONETI''....
alinishawishi sana kuendelea kunywa ''kwa namna alivyokuwa akiuendesha uchungaji wake''....
nipo zero pabu hapa tegeta nakunywa valuu na mchungaji EIKEIEI MZEE WA BONETI