Pole sana YNNAH na kwa familia kwa kumpoteza mama mkubwa. Mungu akupeni nguvu na ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu.
Marehemu apumzike kwa amani. Amina.
Habari zenu wapendwa, nasikitika kuwataarifu kuwa nimepata msiba wa mama yangu mkubwa. Amefariki jana jioni na tunatarajia kuzika leo saa kumi Muheza Tanga. Innalillah wainna illaih rajiuun
Habari zenu wapendwa, nasikitika kuwataarifu kuwa nimepata msiba wa mama yangu mkubwa. Amefariki jana jioni na tunatarajia kuzika leo saa kumi Muheza Tanga. Innalillah wainna illaih rajiuun