Nimepata mpenzi juzi tu anataka mambo

Nimepata mpenzi juzi tu anataka mambo

Jamani naombeni ushauri, mwenzenu nina boyfriend wangu sasa juzi tu tumeanza mahusiano leo anadai mambo.

Mimi naogopa kuchezewa jamani nikaachwa, kila nikimueleza siko tayari anabaki kuwa msisitizaji nifanyaje.

Kwani we ulitaka umchune mpaka ifike shi ngp ndo umpe?!
 
sasa ulivomkubalia ulitegemea nini?ndo umpe sasa mwanakulitaka mwanakulipata
 
Mpe bhana kwani kunautofauti gani ukimpa leo,kesho,,,,,,mpe bhana
 
Hata ukimpa baada mwaka, wiki moja siku, chache au masaa machache tangu mujuane, kumbuka TENDO NI LILELILE!
 
Jamani naombeni ushauri, mwenzenu nina boyfriend wangu sasa juzi tu tumeanza mahusiano leo anadai mambo.

Mimi naogopa kuchezewa jamani nikaachwa, kila nikimueleza siko tayari anabaki kuwa msisitizaji nifanyaje.
mpe tu cz haiishi wala haina meter reader bt kama we ni bikira usimpe cz itaanza kusoma meter
 
Ulitaka asubiri mpaka lini? Ukiona mwanaume hakuombi punani na wewe ni girfriend wake ujue kuna demu mwingine au wengine anawakamua.
 
Kwani ukimnyima leo ukaja kumpa baada ya mwezi kuna tofauti gani? We mpe bwana mambo gani kumiliki shamba usilolilima!
 
Jamani naombeni ushauri, mwenzenu nina boyfriend wangu sasa juzi tu tumeanza mahusiano leo anadai mambo.

Mimi naogopa kuchezewa jamani nikaachwa, kila nikimueleza siko tayari anabaki kuwa msisitizaji nifanyaje.

Unaona ajabu kisa jamaa kaomba mchezo after 3 days?....mbona hukushangaa alivyokutoa out siku ya kwanza tu?...pia mbona hukuomba ushauri alivyokutumia hela siku ya pili?
 
Mpe kama ana nia ya kweli mtadumu naye ukichelewa wenzio watatoa bila shida na utakapokua tayari kumpa ujue imekula kwako
 
ha ha ha ths is funny, bt cha mcngi kuwa mjanja ww, ktk hzo wiki mbili unayaonaje maongezi yake? Hatua gan anachukua kuexpand uhusiano wenu?, unaonaje mazngra ya mahusiano yenu? Ukijua majbu ya hayo maswali utajua nn ufanye, two weeks znatosha kujua.. Am out
 
usiwaze sana kama muda unakuhusu mpe tu mshkaji apige,akikolea atoki uyooo!we jaribu uone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom