BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Mwambie akukome
Mchunguzane kwanza
Mchunguzane kwanza
Kwani lazima kwenye mapenz msex jamani
Jamni naombeni ushauri, mwenzenu nna boyfriend wangu sasa juzi tu tumeanza mahusiano leo anadai mambo, mi naogopa kuchezewa jamani nkaachwa kila nkimueleza siko tayari anabaki kuwa msisitizaji nifanyaje
mpe bwana hata ww utapata tamu etiee!
Mmh!! akiniacha roho itauma sana
Hahahahahaaaaa alidhani anataka awe mfadhili na Baba wa Kiroho......
wasichana hapo ndo ninapowashishaga!
wee binti inaonyesha jinsi gani huna msimamo mpaka upate mwongozo! kwani hujui nini unataka katika maisha yako? huwezi kumuuliza mtu jambo ambalo unalitaka maishani! you know what you need and you must have VALUES! vitu unavyoviamini kukuongoza katika misha uliyojaliwa na Mwenyezi hapa duniani! lazima pia ujue MIpaka yako! we can not tell you what you need surely!
Ushauri!
mm binafsi namheshimu sana mwanamke mwenye msimamo hasa jambo ambalo linakujengea heshima! you know them! hakuna mtu duniani atakaye kusifia kwa kufanya mapenzi na wapenzi/mpenzi mara nyingi lakn watakusifia na kukuheshim kwa kuwa nadhifu wa kimwili na kiroho! sisi wanaume ni watu wa ajabu sometimes na hasa wale ambao wanakuwa driven na hisia na maoni ya watu waliiowazunguka, Unaweza kumkubalia na akakuacha vile vile na anaweza kukuoa na akaendelea kutoka na watu wengine, vile vile ujue Ndoa ni Tunda la Upendo kama anataka kupima nguo mwambie aende kwa fundi sio kwenye mwili wako kama unatamani kuheshimiwa na kudumu katika ndoa yako kama unataka ndoa!
Usikubali watu wakuchagulie maisha, chagua aina ya maisha mwenyewe kwa kuwa utaishi kwa hisia za watu na zitakutesa maishani! LIVE YOURSELF! respect your values and boundaries!
siamini kama huyo mwanaume just 2wks anataka apime shati! this is pathetic
Ubaya utabaki kuwa ubaya tu hata kama DUNIA NZIMA INAFANYA UBAYA HUO! you know what I mean!
Kila la heri katika mahusiano
Kiresua
hahahaaaaaaaandio.. msiposex haina haja ya kuwa wapenzi.. bora uwe na kakaako tu kama hutaki papuchi iliwe..
Kwani lazima kwenye mapenz msex jamani
Kwani lazima kwenye mapenz msex jamani
Jamani naombeni ushauri, mwenzenu nina boyfriend wangu sasa juzi tu tumeanza mahusiano leo anadai mambo.
Mimi naogopa kuchezewa jamani nikaachwa, kila nikimueleza siko tayari anabaki kuwa msisitizaji nifanyaje.
Jamani naombeni ushauri, mwenzenu nina boyfriend wangu sasa juzi tu tumeanza mahusiano leo anadai mambo.
Mimi naogopa kuchezewa jamani nikaachwa, kila nikimueleza siko tayari anabaki kuwa msisitizaji nifanyaje.
hicho ndio kilichomfanya akutongoze bibie vua tu hahahaaaaaaa hutaki kuchezewa??? na wao hawataki kuchezewa nowdays