Nimepata mpenzi juzi tu anataka mambo

Nimepata mpenzi juzi tu anataka mambo

Mmh!! akiniacha roho itauma sana

Unatumie penz ka last weapon yako.... kwanza kungonoka sio mpaka aombe mazngra tu yakwaruhusu kwa raha zenu mnaenjoy hata kama mmekutana leo... malidhiano ya nafs ndo kila kitu
 
Haka ka ujumbe na thread yako vimenichekesha saaana
 

Attachments

  • 1411842707458.jpg
    1411842707458.jpg
    74.6 KB · Views: 201
Papuchi ni ya kuinjoyisha mama.
Daa halafu nina miezi miwili sijapata papuchi wadau.
 
Kwa hiyo huku umekuja kutafuta mpenzi mwingine au...? Kama kweli unahitaji ushauri na wewe ni muwazi kwanza mwaga hapa mistari yote kuanzia alivyojutongoza mpaka mwisho....ili tupate picha halisi halafu tukushauri .....
 
Tatizo huyo jamaa yako ana siasa nyingi, hana mbinu mbadala kabisa, mambo gani ya kukaa vikao mnaombana papuchi, Dume la mbegu hamna maneno mengi, ni vitendo kwenda mbele hata huu muda unaotumia kuomba ushauri usingeufikiria.
 
idiot.....wanawake kama wewe mnaudhi sana halafu mnakuwa wabaya kinoma kuanzia mwonekano mpaka kitandani....uliambiwa lazima umnyime muda gani ndo ukubali kutoa??akichepuka utalalamika wapi?mi kuna dada nilisex naye muda mfupi tu baada ya kuanza mahusiano ba tukadumu almost 3 years deeply in love with a good sex life but tukaja shindwana kwenye masuala mengine.it doesnt matter ukitoa mapema au ukichelewesha
 
usimpe pumbavu zake ujue huyo anakudhatau saaana.inaonesha ana hamu tu yaku duu wala hakuhitaji kama mpenzi kabisa
 
Dada huyo bwana hana mapenzi ya dhati na wewe mwambie bado haupo tayari kwa hayo ukiona anabadilika achia boti liende litakusumbua. baadae...
 
Wanawake kama hauko tayari kufanya mapenzi usimpe eti ili asipate kwingine...mwambie mimi siko tayari kwa hili kama ni mstaaarabu atavumilia na atakuheshimu zaidi kama anataka kuonja ataondoka...
 
usimpe pumbavu zake ujue huyo anakudhatau saaana.inaonesha ana hamu tu yaku duu wala hakuhitaji kama mpenzi kabisa

Wewe upo dunia gani? mwanaume asipokuomba k mapema ndio anakuheshimu? Hivi mwanaume akiwa na hamu unafikiri atakusubiri wewe miezi miwili, jidanganyeni tu.
 
Dada huyo bwana hana mapenzi ya dhati na wewe mwambie bado haupo tayari kwa hayo ukiona anabadilika achia boti liende litakusumbua. baadae...

mwenye mapenzi ya kweli ni yupi?haombi papUCHII? acheni hizo.kwa.i alipojiingiza ktk mahusiano alikua hajui nn Kitafuata?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom