Nimepata mpenzi juzi tu anataka mambo

Nimepata mpenzi juzi tu anataka mambo

ww una mpango wa kumpa lini? au mpaka ndoa?
 
kama ana nia ya kukuchezea atakuchezea tu hata ukimpa baada ya miez 2 ya mahusiano. Haimaanish kwamba akikuomba haraka anataka kukuchezea we mpe tu ilimradi cha kumpa unacho. Akienda kuomba kwa mwingne kwa sababu we umemnyima na akapewa utaridhka?
 
mmh juzi yote hyo unajifikiria? wenzako hawatongozi bali wanaombwa cku hiyo hiyo ma wanatoa bila hat kujiuliza
 
Dah! Huyo anataka kukula kisha kona. Wala hajawa mpenzi wako kiukweli, ni njia yake ya kukuvua chuupi. ukimpa atakula na kuweza kusepa na ukimnyima ataenda pengine. Huyo anataka ngono.
 
Mpe...! atafune mambo unataka akatafute mchepuko.
 
Una uhakika wewe kwake ni mpenzi au ni msichana aliyekutongoza umpe kei.?
 
Jamni naombeni ushauri, mwenzenu nna boyfriend wangu sasa juzi tu tumeanza mahusiano leo anadai mambo, mi naogopa kuchezewa jamani nkaachwa kila nkimueleza siko tayari anabaki kuwa msisitizaji nifanyaje

Mgee tu!
 
Hahahha wachangia wote mmenifanya nicheke sana duh..
 
Back
Top Bottom