M CM
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 2,498
- 1,482
Jamani naombeni ushauri, mwenzenu nina boyfriend wangu sasa juzi tu tumeanza mahusiano leo anadai mambo.
Mimi naogopa kuchezewa jamani nikaachwa, kila nikimueleza siko tayari anabaki kuwa msisitizaji nifanyaje.
Kweli kabisandio hivyo tunachezeana
Hahahahaaaaa...anataka Pepo bila kufaWw unataka mpenzi halaf hutaki kuliwa?...kuwa single.
Kwani wewe ni bikra mrembo?Jamani naombeni ushauri, mwenzenu nina boyfriend wangu sasa juzi tu tumeanza mahusiano leo anadai mambo.
Mimi naogopa kuchezewa jamani nikaachwa, kila nikimueleza siko tayari anabaki kuwa msisitizaji nifanyaje.