...., lakini mie situmii app ya JF ila kabla sijagundua ilikuwa ni zoezi kubwa sana, sasa hivi in less than a minute nimeshapandisha kitu. Jaribu kufanya huo utundu unaweza kufanikiwa.
Una uhakika sio mume wa mtu?
Sawa mkuuWa kiume
hahahaa lkn si kizuri kula na nduguyo bana we unataka kula peke yakoTusemezane maana madanga ya humu yanawakusanya wa5
Wengine umalaya tu wameuzoeaHata Evelyn Salt sredi zake siku hizi zinaonesha ameachwa. Mzigua90 nazani kapata maana kimya. Nitakuwa nakuonesha kila aliyeachika
[emoji3][emoji3] nitakupa I'd mbili tatu uzikague shoga yanguNimemwomba I'd yake nikamkague kwenye file zangu
Kanisa gani la kinondoni au tegeta ??Nimepata mpenzi humu jukwaani. Tunakwenda taratibu. Amepanda juu hii ndiyo furaha yangu Nina allergy na Andunje.
Ninahisi ninampenda. Katika maongezi nimegundua tunasali kanisa moja.
True ila hujui kama mlimletea shida hadi kawachukia hivyo.??Dont be too sure too soon. Ukishampa mambo na akabaki, hapo ndo utajihakikishia kuwa umepata mtu.
Pia usitukane mamba (viandunje) kabla hujavuka mto.
ishu gani my dear
anhaa ngoja nijeIle ya kusafiri kule kwa mzee tb..
hahahaa lkn si kizuri kula na nduguyo bana we unataka kula peke yako
[emoji3][emoji3] nitakupa I'd mbili tatu uzikague shoga yangu
😀 😀 😀 😀 😀Hahahahah haya kumbe na wewe umenikubali yule bebeb awe wetu soteee
Ninao wa kutosha[emoji3]Hahaha una moyo?