Nimepata mpenzi humu jukwaani

Nimepata mpenzi humu jukwaani

Bado sijajua kati ya attention na fame unatafuta nini exactly? Akili kwa kichwa wanaume wenzangu, ni huyu aliyekuja na thread juzi tu, kuwa ameachwa na mwanaume baada ya kumfungulia duka na hayupo tayari kumuacha huyo mwanaume na blahblah kibao
 
Hahaha aise
Hatukufaham ila unaweza ukampeperusha huyo mtu wako.

Wew uchelew kuja kumuanzishia uzi humu mara ooh wanawake wa jamii hawana maana kumbe ni utoto wako wa kutangazatangaza kila kitu.
 
Tuko tunasubiria uzi wa malalamiko

Tunashukuru mmetujulisha na tutashukuru zaid ikitokea mmeachana mkaleta uzi tuchangie maana nyie sio wa kwanza wako na wenzenu washajarb

Karibuni tupo kwa ajili yenu
 
Tangu nijiunge na Jf hakuna mdada aliyewahi kuja Pm hata kunisalimia🤔🤔🤔njooni bas hata mnitukane mimi nitaridhika tu😂😂😂
 
Tangu nijiunge na Jf hakuna mdada aliyewahi kuja Pm hata kunisalimia🤔🤔🤔njooni bas hata mnitukane mimi nitaridhika tu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] watakuja kiongozi

Smart guy
 
Back
Top Bottom