Nimepata mpenzi humu jukwaani

Nimepata mpenzi humu jukwaani

Siwaelewag watu wanaotafta wapenz hum.kabisaaa yani..
Kama mwanamke basi ni mbovu
Kama mwanaume basi sjui ana tatzo gan,nae atakua mbovu ama domo zege au sjui yan

N.b ubovu haimaanish sura mbaya,tuelewane
Ubovu ni kutokua na hiv
1.usafi
2.u smart
3.mbwembwe
4.chambi kdogo
5.mandhari ya kumeet watu huna hata instagram au fesibuku hutak
 
Siwaelewag watu wanaotafta wapenz hum.kabisaaa yani..
Kama mwanamke basi ni mbovu
Kama mwanaume basi sjui ana tatzo gan,nae atakua mbovu ama domo zege au sjui yan

N.b ubovu haimaanish sura mbaya,tuelewane
Ubovu ni kutokua na hiv
1.usafi
2.u smart
3.mbwembwe
4.chambi kdogo
5.mandhari ya kumeet watu huna hata instagram au fesibuku hutak
Hapa ni sawa na mitandao mingine ya kijanii. Mkielewana mnabadilhana namba na picha.

Mkionana kama hamuelewani mnaachana
 
Nimepata mpenzi humu jukwaani. Tunakwenda taratibu. Amepanda juu hii ndiyo furaha tangu Nina allergy na Andunje.

Ninahisi ninampenda. Katika maongezi nimegundua tunasali kanisa moja.
Nnakupenda sana Daisy Llilies wangu ila siku nyingine usiwakandie hao andunje Mshana asije niroga bure na mimi nikawa mrefu kwenda chini.
Vipi gauni la harusi tayari umeshachagua?
 
Nimepata mpenzi humu jukwaani. Tunakwenda taratibu. Amepanda juu hii ndiyo furaha yangu Nina allergy na Andunje.

Ninahisi ninampenda. Katika maongezi nimegundua tunasali kanisa moja.
Huyo mpenzi wako ni mwanaume au mwanamke??
 
Nnakupenda sana Daisy Llilies wangu ila siku nyingine usiwakandie hao andunje Mshana asije niroga bure na mimi nikawa mrefu kwa kwenda chini.
Vipi gauni la harusi tayari umeshachagua?
Tuongelee kwanza kupelekana nyumbani na kuvalishana pete. Gauni nitashonewa na fundi Mwajuma wa pale Magomeni Kagera
 
ntakupeleka kwanza kwetu ukawaone wifi zako, panapo majaaliwa baada ya mwaka mmoja ntakuja kwenu rasmi kuleta posa,
Au we unaonaje my swiiti daring?
😂😂😂😂😂 my sweet darling unawatia watu hasira tutapigwa ban. Wengine wana share na hili jukwaa. Ninaomba tuishie hapo.
 
Bas speed yako ya kutafta bwana ni ya 5g.

Dada kwa ushaur tuu,achana na watu wa hum.ukitaka pata bwana wa uhakika si hapa fanya haya nayokwambia utapata bwana
1.kama una penda kutia dawa nywele au maweave acha,nyoa anza kufuga nywele matural ziwe ndefu nzuri safi
2.vaa nguo za heshima, kuwa msafi,nukia,etc
3.kama ni christian,anza kuhudhuria church kama muslim sjui inakuaje hapo
4.ukiskia gatherings zozote za maana nenda,attend hzo
5.kama una account insta au fb,futa picha za zaman weka mpya na u natural wako ,smart .god fearing
6.talk to any1 usichague.tabasamu,usiwe kauzu maana kuna madem makauzu akat hawana mabwana wana masterbate daily

Dada ukifanya haya yote usipopata bwana wa kukuoa BASIIII
Hapa ni sawa na mitandao mingine ya kijanii. Mkielewana mnabadilhana namba na picha.

Mkionana kama hamuelewani mnaachana
 
Back
Top Bottom