Oworuganda
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 2,187
- 2,798
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Watu kama hawa hawatoagi offer huko bar 😆😆😆😆😆hahahaa pombe inataka kumfanya mtu afukuzwe" ajabu nikwamba ungetokea chupa za hizo pombe zingepasuliwa na mtoto wake angekausha tu " wala asingekuja kusema hapa Jf
Kidato cha sita unamuita Toto dogo! Wewe fix.Kwanza wewe ni msanii kama Yule wa GPA ya 32,unasema amepata four ya mwisho afu unadai inasemekana mitihani hakufanya,kama hakufanya mitihani hyo four ya mwisho kaipataje?Unaandika inasemekana baba yake alimlea kwa kumdekeza,mtoto wa ba mdogo wako usiwe na uhakika alilelewa vipi? Any way Kama kaja kutembea mvumilie tu ataondoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mtoto pampula unamtetea! Sidhani kana ana watoto watovu wa nidhamu kama huyo. Yaani ningemtimua bila kujiuliza!Nilichogundua wewe jamaa ni mchoyo alafu mke wako ndio mwenye kauli ndani ya nyumba zaidi yako, sababu kubwa ya kumfukuza huyo dogo ni kunywa pombe zenu.. mama watoto akakuweka kitimoto umfukuze mdogo wako, chukua uamuzi wa kumfukuza maana nyumba ni yako ila kaa ukijua hiyo ni tabia na inazidi kuota mapembe.. kesho utamfukuza na baba ako kwasababu ya mke.
Malipo ni hapahapa duniani, na watoto wako watakuja kufukuzwa siku moja.
Kwani yeye ndio aliyemlea?tumia akili,huyo ndio aina ya malezi aliyokulia...nje ya hapo utabeba lawama za kudumu..
Anza ratiba ya kupika ugali daily 24hrs kwa Dagaa wa Mwanza/maharage/mchicha...
halafu asubuhi chai ya mluzi kwa kiporo cha ugali au mihogo
*ataondoka mwenyewe,kwa hiari na kiroho safi 🙁
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss heinken t roho inakutoka.muache mhuni alumbue wacha kukunja bob.Kuna kijana mtoto wa baba mkubwa kaja kunitembelea hapa nyumbani baada ya kumaliza form six wanasubilia selection za chuo ila huyu kafeli maana kapata four ya mwisho.Sasa nilichoudhika ni hili tukio nililolikuta home kwangu.Yaani nimekuta limekunywa Box zima la Heinken zangu na st.Anna za mke wangu ***** zake cha kushangaza sasa toto dogo nimekuta linakula sigara packet nzima tena sebuleni yaani hili toto lina siku moja limeanza kufanya hivi nimekuta sebuleni kumejaa moshi kama jamaika aisee.AISEE HILI TOTO NASIKIA BABA YAKE ALILEA KWA KULIDEKEZA NA KUNA TETESI HATA HUO MTIHANI WA FORM SIX HALIJAFANYA.WAKUBWA HEBU NISAIDIENI MBINU ZA KULITIMUA KWA SABABU NAHISI NIMETEMBELEWA NA PAMPULA NA SIO MGENI TENA.MBAYA ZAIDI HUYU DADA WA KAZI AISEE KANIHADITHIA VITIMBWI VILIVYOKUWA VINATENDWA NA HILI TOTO MPAKA MENGINE AIBU KUYAANDIKA.NIPENI MBINU WAKUU HAPA KWANGU ANA SIKU MBILI NATAKA NIMG'OE HAPA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaujua umri wangu ni toto kwanguKidato cha sita unamuita Toto dogo! Wewe fix.
sawa mkuuKwa iyo ilo toto sheztype zake lilikuja kusubiria matokeo, tokeo likatoka siku iyo iyo, ukasikia limefeli hapohapo linafoo alafu halikufanya mtihani,likanywa bia zako na wine ya mkeo dah kweli ilo toto linachuki na unafki kama wewe. Yani umeshindwa kuleta mada kabla ya tokeo ukaone ulete baada ya matokeo hizo chuki na roho mbaya sheztype
Sent using Jamii Forums mobile app
Limekunywa heineken 22 na st Anna mbili na dompo moja huyo mtu gani ***** huyu simuachi lazima ataondoka natafuta timing tuuWatu kama hawa hawatoagi offer huko bar [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Watu hawajui mtu wa namna hii anavyokela anavuta sigara sebuleni tena mbele ya mtoto wangu aiseehuyo dogo mharibifu na hachelewi kumpitia huyo house girl... au watoto wake
sometimes,kutumia teknik ni muhimu,na haihusiani na choyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu mmu tusipoweka mambo ya kifamilia tutakuwa tunazungumzia mambo gani mkuu.Mimi nimeomba mbinu ya kumtimua siwezi kukaa na mtu wa namna hii home kwangu napatumia kupumzika sasa kama kuna disturbance imekuja kwangu itaniidi niondoshe la sivyo nitakuwa siutendei haki moyo wangu.WAZO LA KUMFUKUZA NINALO TAYARI HUMU NATAFUTA MBINU TU.sasa kunywa hivyo vibia tu una maind namna hiyo hadi unakuja kujiabisha JF siku ukikuta kamkaza Beki tatu wako au mkeo si utakufa kabisa kwa presha? mwanaume wa kweli hawezi kuweka mambo ya familia yake mitandaoni....Shame!!