Nimepata mgeni wa ajabu sana

Nimepata mgeni wa ajabu sana

Cheka nae tu kuna siku utamkuta na bukta chumbani kwako na shemeji yake ? Mhuni haachi uhuni
 
Kaanza kumtongoza dada wa kazi mi nipo kazini,kachukua hela alizobakiza dada wa kazi kutoka sokoni kaenda kununua sigara packet,kakaa sebuleni na boxer mpaka mtoto wangu karudi kutoka shule bado kavaa boxer hadi nimemkuta mimi nikamuuliza kulikoni ananijibu kuwa ametoka kuoga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu dada wa kazi si umuachie dogo agegede tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaanza kumtongoza dada wa kazi mi nipo kazini,kachukua hela alizobakiza dada wa kazi kutoka sokoni kaenda kununua sigara packet,kakaa sebuleni na boxer mpaka mtoto wangu karudi kutoka shule bado kavaa boxer hadi nimemkuta mimi nikamuuliza kulikoni ananijibu kuwa ametoka kuoga.

Sent using Jamii Forums mobile app
usye abhanyakyusya tukuti imbombo ulinajoo
 
NOT IN MY HOUSE!!
nitampasua nimtengeneze soup aseeh!!
Leo asubuhi angejikuta yupo kwenye Basi anarudi kwa babake!!

Boxer sebuleni?
Sigara?
Kutongoza msaidizi wangu?
Pombe kwa mtoto? (Tafsiri yangu ya mtoto ni yeyote aliye chini ya paa langu ni mtoto)
Billie viiiiipi bana?
ingekuwa mm hata wewe ukikaa kwenye 18 zangu napita
 
Msikilizie tu mkuu,mpk akija gegeda mkeo then rudi hapa jukwaani kwa ushauri boss.
 
Acha roho mbaya kwani hivyo vitu gharama yake ni sh ngapi?
Ishu ni sio gharama ishu ni kero box la chupa 24 zilibaki 22 mbili nilikunywa mimi lenyewe limekunywa kwa siku moja na st ANNA na dompo limefagia friji ***** hata panya hafanyi hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaza hivii baba wa huyo kijana alihusika kwa kiasi kikubwa kwenye mafanikio yako leo hadi una familia. Kwa huyo kijana unalipa fadhila Ndo maana unashindwa kufanya maamuzi magumu. Polee
 
Mgeni siku ya kwanza, mpe mchele na panza, mtilie kifuani, mkaribishe mgeni,
Mgeni siku ya pili, mpe ziwa na samli, mahaba yakizidia, mzidie mgeni,
Mgeni siku ya tatu, jumbani hamuna kitu, mna zibaba zitatu, pika ule na mgeni,
Mgeni siku ya nne, mpe jembe akalime, akirudi muagane, enda kwao mgeni,
Mgeni siku ya tano, mwembamba kama sindano, hauishi musengenyano, asengenyao mgeni,
Mgeni siku ya sita, mkila mkajificha, mwingine vipembeni, afichwae yeye mgeni,
Mgeni siku ya saba, si mgeni ana baa, hata moto mapaani, hutia yeye mgeni,
Mgeni siku ya nane, njoo ndani tuonane, atakapotokea nje, tuagane mgeni,
Mgeni siku ya kenda, enenda mwana kwenenda, usirudi nyuma, usirudi mgeni,
mgeni siku ya kumi, kwa mateke na mangumi, hapana afukuzwaye, ni yeye mgeni.
someni.jpg
 
Timua atakubakia watoto huyo
Kuna kijana mtoto wa baba mkubwa kaja kunitembelea hapa nyumbani baada ya kumaliza form six wanasubilia selection za chuo ila huyu kafeli maana kapata four ya mwisho.Sasa nilichoudhika ni hili tukio nililolikuta home kwangu.

Yaani nimekuta limekunywa box zima la heinken zangu na st.Anna za mke wangu ***** zake cha kushangaza sasa toto dogo nimekuta linakula sigara packet nzima tena sebuleni yaani hili toto lina siku moja limeanza kufanya hivi nimekuta sebuleni kumejaa moshi kama jamaika aisee.

Aisee hili toto nasikia baba yake alilea kwa kulidekeza na kuna tetesi hata huo mtihani wa form six halijafanya.Wakubwa hebu nisaidieni mbinu za kulitimua kwa sababu nahisi nimetembelewa na pampula na sio mgeni tena.

Mbaya zaidi huyu dada wa kazi aisee kanihadithia vitimbwi vilivyokuwa vinatendwa na hili toto mpaka mengine aibu kuyaandika.

Nipeni mbinu wakuu hapa kwangu ana siku mbili nataka nimg'oe hapa.
 
Hapo kama unashindwa kumwambia live aache tabia zake basi chonga plan na Dada wa kazi mwambie atapomtongoza aseme anakuogopa ww kwa maana na wewe una maslahi kwake
Sasa kwa jinsi Huyo mgeni alivyo wa ajabu ataenda kumwambia mkeo kuwa unachepuka na Dada wa kazi then mnamtimua maana anakuwa kaja kugombanisha ndoa za watu
Ase na wewe umecomment hahahahahah
 
Hakuna 'mbwinu' ya kukupa hapo ...unachotakiwa ni kubwuni mbunwu.... I mean umbwuni bwinu.. Ohh sorrry.. U mbuni mbwunu ya kulitimua..
Hahahaa kweli ABWINU MBWINU TU HAKUNA NAMNA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom