Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,391
- 59,148
Hivi box la heinekein ni sh ngap?Kuna kijana mtoto wa baba mkubwa kaja kunitembelea hapa nyumbani baada ya kumaliza form six wanasubilia selection za chuo ila huyu kafeli maana kapata four ya mwisho.Sasa nilichoudhika ni hili tukio nililolikuta home kwangu.
Yaani nimekuta limekunywa box zima la heinken zangu na st.Anna za mke wangu ***** zake cha kushangaza sasa toto dogo nimekuta linakula sigara packet nzima tena sebuleni yaani hili toto lina siku moja limeanza kufanya hivi nimekuta sebuleni kumejaa moshi kama jamaika aisee.
Aisee hili toto nasikia baba yake alilea kwa kulidekeza na kuna tetesi hata huo mtihani wa form six halijafanya.Wakubwa hebu nisaidieni mbinu za kulitimua kwa sababu nahisi nimetembelewa na pampula na sio mgeni tena.
Mbaya zaidi huyu dada wa kazi aisee kanihadithia vitimbwi vilivyokuwa vinatendwa na hili toto mpaka mengine aibu kuyaandika.
Nipeni mbinu wakuu hapa kwangu ana siku mbili nataka nimg'oe hapa.
Nasikia kuna tetesi mtihani hajafanya lkn ana uhakika amepata div.4 ya mwisho msome vizur
Kwanini usinunue lingine kama hilo limeisha maana hizo ni dalili za roho mbaya, halafu unamwambia kwamba kunywa kwa kiasi kwani shida ipo wapi shida ni kwamba miaka hii watu wana roho mbaya sana...Ishu ni sio gharama ishu ni kero box la chupa 24 zilibaki 22 mbili nilikunywa mimi lenyewe limekunywa kwa siku moja na st ANNA na dompo limefagia friji ***** hata panya hafanyi hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenichekesha sana. Nilikua sijacheka toka janaTatizo hapo sababu ndugu wa mwanaume,angekuwa ndugu wa mkeo usingethubutu kuongea hayo kwanza ungekuwa unamuamkia.Sisi wanaume watu wa maajabu sana
Wewe nawe ni pampula tu kama hill dogo lako! Yaani hilo nalo mpaka upate msaada kwa jirani?Kuna kijana mtoto wa baba mkubwa kaja kunitembelea hapa nyumbani baada ya kumaliza form six wanasubilia selection za chuo ila huyu kafeli maana kapata four ya mwisho.Sasa nilichoudhika ni hili tukio nililolikuta home kwangu.
Yaani nimekuta limekunywa box zima la heinken zangu na st.Anna za mke wangu ***** zake cha kushangaza sasa toto dogo nimekuta linakula sigara packet nzima tena sebuleni yaani hili toto lina siku moja limeanza kufanya hivi nimekuta sebuleni kumejaa moshi kama jamaika aisee.
Aisee hili toto nasikia baba yake alilea kwa kulidekeza na kuna tetesi hata huo mtihani wa form six halijafanya.Wakubwa hebu nisaidieni mbinu za kulitimua kwa sababu nahisi nimetembelewa na pampula na sio mgeni tena.
Mbaya zaidi huyu dada wa kazi aisee kanihadithia vitimbwi vilivyokuwa vinatendwa na hili toto mpaka mengine aibu kuyaandika.
Nipeni mbinu wakuu hapa kwangu ana siku mbili nataka nimg'oe hapa.
Timua Huyo asikuumize kchwaKwann ukose mamlaka hivo na nyumba yako?
Natakiwa kupanga mbinu na mtu ili KUONDOA mtu anayemissbehave kiwango hicho?
SIFANYI HUO HIYO KITU ASEE!!
ni ataondoka the very moment!!
Babake atakamponiuliza nitamwambia amulize mtoto wake!!
PERIOD!!
Ahahah nimelike mzeeAse na wewe umecomment hahahahahah
Usisahau kuleta mrejesho mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]sasa km mtihani halijafanya hio div four limepataje? au limepata kusikojulikana
Nataka umpige risasi moja ya kichwa.Unaishi na kibaka