Dumelo
Senior Member
- Apr 23, 2015
- 139
- 235
Naomba nitoe pongezi kwa uongozi wa JamiiForums kwa kuanzisha hii platform ya mahusiano. Niliwahi kutoa thread yangu hapa kuwa natafuta mchumba/ baadae awe mke wangu. Zilikuaja PM kibao lakini wengi hawakuwa serious, finally nilimpata aliyekuwa serious.
Ni zaidi ya mwezi sasa. Tuna mipango mingi. Ikifikia wakati wa ndoa nitawajulisha wadau.
Thanks Again JamiiForums.
======
Ni zaidi ya mwezi sasa. Tuna mipango mingi. Ikifikia wakati wa ndoa nitawajulisha wadau.
Thanks Again JamiiForums.
======
Hongera sana Dumelo!
Hii Jamii Forum hata mimi ilinipatia mume mwema sana. Yani tupo kwenye ndoa zaidi ya miaka mitatu sasa na tumebarikiwa mtoto pia. Tunapendana na kuheshimiana sana. Ila ni muhimu kuwa na subira kwenye kutafuta na pia kumuomba sana Mungu akuongoze kwenye utafutaji wako.