Nimepata mchumba kupitia JamiiForums

Nimepata mchumba kupitia JamiiForums

Hongera sana Dumelo!
Hii Jamii Forum hata mimi ilinipatia mume mwema sana. Yani tupo kwenye ndoa zaidi ya miaka mitatu sasa na tumebarikiwa mtoto pia. Tunapendana na kuheshimiana sana. Ila ni muhim kuwa na subira kwenye kutafuta na pia kumuomba sana Mungu akuongoze kwenye utafutaji wako.
really??? i thought r just jokes!!!
 
Mimi nakuomba hata ikitokea kutofautiana tunaomba kuwa majaji WA kesi yenu
 
sasa kwanini uteseke wakati unaye tayari au unajoke hapa hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa kaa na huyohuyo madame

Ningekuwa naye ningelia lia hapa.....wewe huoni hali ya hewa inavyohangaisha jando....!!!!

Tena usinikumbushe mateso ya baridi la jana usiku...!!!??
 
Ningekuwa naye ningelia lia hapa.....wewe huoni hali ya hewa inavyohangaisha jando....!!!!

Tena usinikumbushe mateso ya baridi la jana usiku...!!!??
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa pole mwaya sasa si utafute kama wenzako wanavyotafuta hapa au haujaona kile kiconnected kule juu hahahahaaaaaaaaaaaa
 
mm naomba uniweke kwenye kamati ya chakula kwa kweli hasa upande wa nyamachoma hapo umenipata

usisahau signature yangu inasemaje hapo chini
 
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa pole mwaya sasa si utafute kama wenzako wanavyotafuta hapa au haujaona kile kiconnected kule juu hahahahaaaaaaaaaaaa

Vigezo vinaniangushaga.....

Si unaonaga wanasema wanataka six pack na uwe mrefu sijui kilometa kadhaa.....
Mara wenye mastaz.....

Sasa wakina sie na ufupi huu....na hii one pack
Unajikuta automatically umetolewa nje ya mchezo....labda tujifunge mbao miguuni angalau tuonekane warefu.....
 
Vigezo vinaniangushaga.....

Si unaonaga wanasema wanataka six pack na uwe mrefu sijui kilometa kadhaa.....
Mara wenye mastaz.....

Sasa wakina sie na ufupi huu....na hii one pack
Unajikuta automatically umetolewa nje ya mchezo....labda tujifunge mbao miguuni angalau tuonekane warefu.....
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa leo umenichekesha sana aiseee pole ila utawapata wale wenye vigezo vya ufupi uisikate tamaa nenda kwenye lile jukwaa pendwa kule juu anza kumwaga sera zako uenda akatokeza tu

kwani ufupi wako ni inchi ngapi?
 
hongera... sasa utakua mpole kuchangia, maana baadhi ya maneno yataleta vita kwako
 
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa leo umenichekesha sana aiseee pole ila utawapata wale wenye vigezo vya ufupi uisikate tamaa nenda kwenye lile jukwaa pendwa kule juu anza kumwaga sera zako uenda akatokeza tu

kwani ufupi wako ni inchi ngapi?

Watu wananiambiaga eti nalingana na ndoo mbili za maji...zikiwa zimeekwa juu juu....

Ingawa sina uhakika....

Jumapili hii nitaenda hospitali kupima.....nitakupa majibu..
 
Back
Top Bottom