Nimepata mchumba kupitia JamiiForums

Nimepata mchumba kupitia JamiiForums

Hongera sana Dumelo!
Hii Jamii Forum hata mimi ilinipatia mume mwema sana. Yani tupo kwenye ndoa zaidi ya miaka mitatu sasa na tumebarikiwa mtoto pia. Tunapendana na kuheshimiana sana. Ila ni muhim kuwa na subira kwenye kutafuta na pia kumuomba sana Mungu akuongoze kwenye utafutaji wako.
WEKA PICHA MKUU.
 
Shukran sana Shunie. Mapenzi hupatikana popote tu na wala hakuna sehemu maalum ya kutafutia mwenza iliyo bora kuliko nyingine. Cha msingi ni kuwa na nia ya dhati na wala si dhihaka.
Thanks Nareem, Naomba wengine muamini katika hili, Unajua kuna watu baadhi hutumia Platform hii ya Social Media Vibaya. Wakati Wenzetu wanaitumia in a positive way, sisi tunahangaika kutoa Lugha za kejeli na Maudhi. Tubadilike kila kitu kinawezekana, nataka kila mmoja aone kuwa Mume au mke anapatikana Popote, wapo waliyokutana Kanisani, Night clubs, Barabarani, Kwenye Ndege, Vigodolo, Singeli nk but what matters ni how mmependana na kuaminiana. So it's time now guys, we need to change. Mimi nimempenda na Yeye kanipenda tumekuta chemistry yetu iko poa, Like Kama kulikua kuna Mpango maalumu wa Mungu.
 
hongera Mwenyezi Mungu awakirimie uweza wake
 
Hongereni nilishawahi kuandika humu watu wanaoana humu lakini kwa sasa huwa hawapendi kusema kama wamekutana hapa jamvini, labda siku za usoni hali hii itabadilika.

Hongera sana Dumelo!
Hii Jamii Forum hata mimi ilinipatia mume mwema sana. Yani tupo kwenye ndoa zaidi ya miaka mitatu sasa na tumebarikiwa mtoto pia. Tunapendana na kuheshimiana sana. Ila ni muhim kuwa na subira kwenye kutafuta na pia kumuomba sana Mungu akuongoze kwenye utafutaji wako.
 
Back
Top Bottom