Powa mkuu hapo nmekuelewa,,ila ushauri wangu ujitahidi Ktk haya mambo usiweke sana kumwekea mtu kuwa labda yupo kimaslahi..ukiweka hivyo hutopata mchumba ata kwa dawa..or otherwise ujihakikishie kwa vigezo zaidi ya vinne baada ya kuwa nae kwa wakati tofauti..nakumbuka kuna msichana nlimpata on fb kipindi kile tunatumia groups,,hahah kimtindo tu kumbe nlipopoint nayy alikua nadhani alipoint apo apo..kweli kuchat fresh tu akataka nimtumie ivyo ivyo ya nauli kipindi iko nlikua chuo ndio tunakaribia kufunga mfukoni kawaida tu sema nlikua nahitaji sana kampan yake maana alionekana hangamfu sana na interest ziliendana...baada ya kutuma alikuja bahati nzuri,,nikuhakikishie Ckuwahi kupata mwanamke aliyekamilika kama yule,sio mapishi nlipikiwa adi nikasema yeah huyu ndio mwanamke sasa,alinipa huduma zote adi nkasema huyu mwanamke ni bora kuliko wote,usafi yan sikujuta kumfahamu na kizuri alikua msomi bas cku tatu ckutaka ziishe..izo ni bahati zinakuja after ku sacrifise vitu vdogo.i got the love of my life through sacrificing money..napendwa adi kesho ingawa cpo nae but tunakumbukana adi kesho kutwa..jaribu kumfatilia mtu kabla hujataka mawasiliano nae zaidi..tho kwa jf cdhani..cjaoa bado najipanga zaidi na zaidi but ikitokea nataka kuoa ntamuoa yeye anamalizia masters maana bado cjaona pingamizi kwake,but we met on fb.na anajua ntamuoa yeye ata kama ananiona kijana wake machachali

.so next time kama kizinga jaribu kupunguza dau kama mwelewa ataelewa tu kama pasua achana nae wanawake wako wengi mara 2 zaidi ya wanaume..