Nimemchunguza ndo maana mpaka nikashawishika kuchepuka naye. Kama yakijitokeza mengine baadaye si nasepa tu. Sina mkataba naye wa kujifunga hapohapo.
Siyo kulelewa tunashare cost. Wanaolelewa ni vijana wanaohamia kwa masugar mumy na kugharimiwa kila kitu. Mimi nina familia mambo yangu yapo super hamna njaa watoto wanasoma shule nzuri. Kwa mchepuko ni burudani ya ziada tu.
Mara nyingi michepuko inakuwa na usumbufu wa hapa na pale katika suala la Matumizi yaani bajeti yake inaweza kuwa kubwa kuliko hata bajeti ya familia nyumbani. Michepuko ina maudhi ya mizinga ya hapa na pale na mingi ni ya kushtukiza tu. Lakini mie nimebahatika kupata mchepuko usio na gharama au cheap karibu na bure kabisa mpaka nijishtukie mwenyewe na hasa tukitoka out kwenye maeneo ya starehe kuchangia bills za eneo la tukio.
Hana gharama kwa sababu ana uwezo mzuri wa kipato na ana kazi yake nzuri tu pamoja na miradi ya hapa na pale pia hana tamaa ya mizinga ya hapa na pale. Kiufupi hana dhiki si kama wanawake wengine makahaba wakimpata mwanaume wanachukulia kama kitega uchumi chake a.k.a ATM.
Usiniulize kwa nini sijabaki njia kuu, kule hakuna matatizo wala mapungufu yoyote nimechepuka tu kama entertainment ya ziada tu.
Siyo kulelewa tunashare cost. Wanaolelewa ni vijana wanaohamia kwa masugar mumy na kugharimiwa kila kitu. Mimi nina familia mambo yangu yapo super hamna njaa watoto wanasoma shule nzuri. Kwa mchepuko ni burudani ya ziada tu.
Nimemchunguza ndo maana mpaka nikashawishika kuchepuka naye. Kama yakijitokeza mengine baadaye si nasepa tu. Sina mkataba naye wa kujifunga hapohapo.
mchepuko huo ni mzuri ila kuwa na moyo ukiwaona wenzio
Unadhani ambao huwa wanasahau familia zao wanakuwaga na mikataba eeh? Huwa wanaanzaga kama wewe wanaishia kuhamishia majeshi kwa mchepuko. Uliza wenzio wakwambie. Chezea michepuko wewe...
wanapatikana wapi hao? mie nataka nihame kwangu maana mke michosho tuu
Atakapokuja kujua atalia na kusaga meno ataita mizimu yote itakua kimya kwani moyo wa mtu ni kiza kinene.He he he, unatumika bila kujua.