Nimepata mchepuko usio na gharama

Nimepata mchepuko usio na gharama

duuuu kazi ipo aiseee mgeni njoo mwenyej apone
 
Mara nyingi michepuko inakuwa na usumbufu wa hapa na pale katika suala la Matumizi yaani bajeti yake inaweza kuwa kubwa kuliko hata bajeti ya familia nyumbani. Michepuko ina maudhi ya mizinga ya hapa na pale na mingi ni ya kushtukiza tu. Lakini mie nimebahatika kupata mchepuko usio na gharama au cheap karibu na bure kabisa mpaka nijishtukie mwenyewe na hasa tukitoka out kwenye maeneo ya starehe kuchangia bills za eneo la tukio.

Hana gharama kwa sababu ana uwezo mzuri wa kipato na ana kazi yake nzuri tu pamoja na miradi ya hapa na pale pia hana tamaa ya mizinga ya hapa na pale. Kiufupi hana dhiki si kama wanawake wengine makahaba wakimpata mwanaume wanachukulia kama kitega uchumi chake a.k.a ATM.

Usiniulize kwa nini sijabaki njia kuu, kule hakuna matatizo wala mapungufu yoyote nimechepuka tu kama entertainment ya ziada tu.

Huo ni mwanzo tu.subiri. mwenzio anakusoma udhaifu wao,akishaujua ndio utakapotambua kuwa michepuko =ruba
 
[Hana gharama kwa sababu ana uwezo mzuri....]

Mko wangapi?
Tafakari, chukua hatua...just thinking loud!
 
Gharama ya michepuko siyo pesa tu. Endelea ku enjoy but be careful. Kuna siku utakuja hapa unaomba ushauri.
 
huyo ni sugar mummy ukimuita mchepuko unakosea
hongera kwa kulelewa
Siyo kulelewa tunashare cost. Wanaolelewa ni vijana wanaohamia kwa masugar mumy na kugharimiwa kila kitu. Mimi nina familia mambo yangu yapo super hamna njaa watoto wanasoma shule nzuri. Kwa mchepuko ni burudani ya ziada tu.
 
Siyo kulelewa tunashare cost. Wanaolelewa ni vijana wanaohamia kwa masugar mumy na kugharimiwa kila kitu. Mimi nina familia mambo yangu yapo super hamna njaa watoto wanasoma shule nzuri. Kwa mchepuko ni burudani ya ziada tu.
haya mariooo hongera
 
Kiukweli sijawahi kujua.kupima mapenzi kwa.huduma anazotoa mtu.

Ila mwanamme asiyetoa kabisa anashangaza tu.

Mie mwanaume anayejisifu kutohudumia mwanamke wake simuelewagi!!!!
 
Ha ha ha ha ha haaa.ati entertainment ya ziad.wanaume hamridhk pumbav nynyii.mkeo hajui kama unafanya uchafu kama huo.siajabu mkeo mtulivu na umejsema hakuna tatzo wala mapunguv..
 
Back
Top Bottom