Nimepata mchepuko usio na gharama

Nimepata mchepuko usio na gharama

Huna lolote ICHANA, we tatizo lako ni kikohozi

Na ukweli ndo huo najua unaumia mbaya
Mwenye kikohozi ni wewe wa kupenda kuhongwa dume zima unapenda free p
Mtulie siku akija na anayemhonga lazima wote mfunuliwe rinda
 
Na ukweli ndo huo najua unaumia mbaya
Mwenye kikohozi ni wewe wa kupenda kuhongwa dume zima unapenda free p
Mtulie siku akija na anayemhonga lazima wote mfunuliwe rinda

He he he.hlo nalo nenooooo
 
Na ukweli ndo huo najua unaumia mbaya
Mwenye kikohozi ni wewe wa kupenda kuhongwa dume zima unapenda free p
Mtulie siku akija na anayemhonga lazima wote mfunuliwe rinda

Hakuna reason ya ku-argue hapa, issue ni kwamba jamaa anachepuka for fun na mchepuko wenyewe ni lami yaani bidada hana njaa kinachofanyika ni cost sharing, good enough njia kuu hakuna tatizo. Skiza ICHANA we unafikiri wote wanaomponda mleta Uzi ni clean? Na kama sio clean why are we calling black..white? Sina mpango wa kukuharibia siku but to make it, take it from me
 
hahahaaa sawa..furahia pesa wanzohonga wanaume wenzio...hujasema huo mchepuko wako una njia kuu??? USISHAU KINGA TAFADHALI
 
Hakuna reason ya ku-argue hapa, issue ni kwamba jamaa anachepuka for fun na mchepuko wenyewe ni lami yaani bidada hana njaa kinachofanyika ni cost sharing, good enough njia kuu hakuna tatizo. Skiza ICHANA we unafikiri wote wanaomponda mleta Uzi ni clean? Na kama sio clean why are we calling black..white? Sina mpango wa kukuharibia siku but to make it, take it from me

Even my self Sina mda wa ku- argue
Nijibu yafuatayo as mwanaume
1:mchepuko ni sawa
2:mwanaume wenye gegedo linafanya kazi fresh na kujitambua unajisikieje mwanamke kukulipia bills na kila kitu afu wallet yako ipo makalioni
3: je Huyo anayemuhonga kama na yeye anahongwa inakuweje
 
Even my self Sina mda wa ku- argue
Nijibu yafuatayo as mwanaume
1:mchepuko ni sawa
2:mwanaume wenye gegedo linafanya kazi fresh na kujitambua unajisikieje mwanamke kukulipia bills na kila kitu afu wallet yako ipo makalioni
3: je Huyo anayemuhonga kama na yeye anahongwa inakuweje

Very good question lady...!
1:michepuko sio deal but it just happen sometimes
2:kulipiwa bill everyday ni tatizo but cost sharing is okay
3:kama yeye anahongwa that is none of my business.
Warning: never pay much attention kwa mchepuko. The principle of michepuko inasema "No responsibilities No rights to michepuko but relationship remain constant"
Lazima umenielewa ICHANA
 
Hongera mkuu,lkn hii kanuni unaijua vizuri!? Ukipiga nje,sharti na wewe upigiwe! Amini usiamini mkeo,mpenzi au mchumba nae anagongwa. Huwa ni ngumu mno hii kanuni kukiukwa.
 
Weka wazi tu kwamba huko unapata mshiko. Lakini vya bure gharama. Raha ya penzi mwanaume hata iwe vipi lazima atoe mshiko kwa mwanamke.
 
Dah uko pouwa sana aisee, ukichemka nipasie kwangu bhana
 
He he he.hlo nalo nenooooo
Makahaba mliozoea kuchuna mna hasira kuona mwanamke mwenzenu hamchuni jamaa! Kama nyie mnauza mbunye endeleeni msitake wengine wawe kama nyie mnaotegemea k kama chanzo kikuu cha kipato na kitega uchumi chenu.
 
ndo manake best....mwanaume ahongwe au tusifie haiwezekani
Hasira zote hizo kuona mwenzenu siyo kahaba kama nyie hategemei kuchuna mwanaume ili aishi. Mwenzenu ana kazi yake na kipato kizuri kwa jamaa kafata kusuguliwa tu ndo maana wanashare cost.
 
Makahaba mliozoea kuchuna mna hasira kuona mwanamke mwenzenu hamchuni jamaa! Kama nyie mnauza mbunye endeleeni msitake wengine wawe kama nyie mnaotegemea k kama chanzo kikuu cha kipato na kitega uchumi chenu.

Ukome fal* we.nan kahaba?? ICHANA unamskia ----- huyu. kahaba unamjua wewe au unamskia.kahaba aje Jf kutafta nn humu badala ya kwenda kutafta wanaume. .siajabu wewe shog@ mpenda vya bure ndo maana akl yako haijafunguka sawasaw kwa 7bu ya kupumuliwa ksogon.
 
Last edited by a moderator:
Hasira zote hizo kuona mwenzenu siyo kahaba kama nyie hategemei kuchuna mwanaume ili aishi. Mwenzenu ana kazi yake na kipato kizuri kwa jamaa kafata kusuguliwa tu ndo maana wanashare cost.

Wapenda dezo utawajua tu yaan..utawajua tu.
 
Basi kuwa makini ghalama zisije kuwa katika MATIBABU,uombe tu akuachie unaotibika sio ule usiotibika
 
Ukome fal* we.nan kahaba?? ICHANA unamskia ----- huyu. kahaba unamjua wewe au unamskia.kahaba aje Jf kutafta nn humu badala ya kwenda kutafta wanaume. .siajabu wewe shog@ mpenda vya bure ndo maana akl yako haijafunguka sawasaw kwa 7bu ya kupumuliwa ksogon.
Kahaba aliyekosa windo utamjua tu ana hasira kama nini.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom