Atakapokuja kujua atalia na kusaga meno ataita mizimu yote itakua kimya kwani moyo wa mtu ni kiza kinene.
Mara nyingi michepuko inakuwa na usumbufu wa hapa na pale katika suala la Matumizi yaani bajeti yake inaweza kuwa kubwa kuliko hata bajeti ya familia nyumbani. Michepuko ina maudhi ya mizinga ya hapa na pale na mingi ni ya kushtukiza tu. Lakini mie nimebahatika kupata mchepuko usio na gharama au cheap karibu na bure kabisa mpaka nijishtukie mwenyewe na hasa tukitoka out kwenye maeneo ya starehe kuchangia bills za eneo la tukio.
Hana gharama kwa sababu ana uwezo mzuri wa kipato na ana kazi yake nzuri tu pamoja na miradi ya hapa na pale pia hana tamaa ya mizinga ya hapa na pale. Kiufupi hana dhiki si kama wanawake wengine makahaba wakimpata mwanaume wanachukulia kama kitega uchumi chake a.k.a ATM.
Usiniulize kwa nini sijabaki njia kuu, kule hakuna matatizo wala mapungufu yoyote nimechepuka tu kama entertainment ya ziada tu.
Ukisoma between the lines utangundua aliyeleta sred hii ni mvulana wala sio mwanaume anayeweza kuwa na mwanamke nyumbani.
unajisifu hayo tu, we subiri akuleelee, hata pesa we omba tu mtoto wa mama, akija kukwambia umwongezee milioni nane akomboe mizigo yake bandarini usianze kulialia!
Ha ha ha kwa kipi kwa kulipiwa bills?
Be serious even a lito bit au kwa usinzi wa kumwacha mkeo wa ndoa?
Au kwa kuja kujisifu jf kuwa una mchepuko
Sikohoi kwa lolote mkuu
Siyo kulelewa tunashare cost. Wanaolelewa ni vijana wanaohamia kwa masugar mumy na kugharimiwa kila kitu. Mimi nina familia mambo yangu yapo super hamna njaa watoto wanasoma shule nzuri. Kwa mchepuko ni burudani ya ziada tu.
Yaani kwa kumuita jamaa ni Mario tayari hicho ni kikohozi tena cha TB bora hata ingekuwa unabanja.mtu kakuthibitishia kuwa main road no problems ila amechepuka just for fun as a man, wewe unaanza oooh marioo, Manawake bhana.. Jealous tu hamna lolote
huyo ni mario tu, mwanaume huwezi kujisifia free p! mwanaume majukumu, hata kama mwanamke ni mwepesi wa kufungua pochi yake wewe unatakiwa ujue jinsi ya kuonesha kwamba unamjali siyo kukimbilia jf kuja kufungua thread kujisifia free p, hao ndiyo utakuta hata bar wanapenda sana offer, round zinazunguka yeye amechuna anakunywa za wenzake tu!! ati ana mke naye huyu, hana mke ni mwanafunzi wa sekondari tu huyu!
hah hah kwanza hapo ye ndo anaonekana cheap na si mwanamke..
Kwa sababu yako Mimi nakaa kimya..!
Akhsante sana mkuu. Atakaeniponda ujue ana wivu tu.
Mara nyingi michepuko inakuwa na usumbufu wa hapa na pale katika suala la Matumizi yaani bajeti yake inaweza kuwa kubwa kuliko hata bajeti ya familia nyumbani. Michepuko ina maudhi ya mizinga ya hapa na pale na mingi ni ya kushtukiza tu. Lakini mie nimebahatika kupata mchepuko usio na gharama au cheap karibu na bure kabisa mpaka nijishtukie mwenyewe na hasa tukitoka out kwenye maeneo ya starehe kuchangia bills za eneo la tukio.
Hana gharama kwa sababu ana uwezo mzuri wa kipato na ana kazi yake nzuri tu pamoja na miradi ya hapa na pale pia hana tamaa ya mizinga ya hapa na pale. Kiufupi hana dhiki si kama wanawake wengine makahaba wakimpata mwanaume wanachukulia kama kitega uchumi chake a.k.a ATM.
Usiniulize kwa nini sijabaki njia kuu, kule hakuna matatizo wala mapungufu yoyote nimechepuka tu kama entertainment ya ziada tu.
Kwa sababu yako Mimi nakaa kimya..!
hahahaa, haya mkuu ngoja nitoke kabisa humu!
Ha ha ha kwa sabubu ipi ukaee kimya
Mimi ndo wafikir utaniweza sitaki inzi kabisa mkuu asubuhi hii
Soma comment za wadau juu sio kunitolea povu
Mwanaume uhudumiwe then unataka nikupe pongezi