Ukiwekeza bongo jipange watu watakuibia hadi mtaji uishe tone la mwisho.Unaweza kulipwa 250,000 lakini humo humo kwa mwezi ukapata mara 3 ya hiyo au mara 2 ya hiyo.
Huo mshahara unaweza usiiguse.
Soma mazingira kwanza
Unamaanisha una degree ya HR? zis woldi izinti fea kabisa. Ila nyie jamaa mkitoboa mkakabidhiwa ofisi hua mnanyodo kinyama yaani, hapa ndio naelewa husstle mnazopitia.Elimu yangu ni shahada ya rasilimali watu.
Mm nilianza Na posho ya 150k monthly ila kwa mwezi niliweza kusepa na almost 500k na Hiyo posho nisiiguse ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Na unaweza kukomaa hapo hapo na wakati huo huo unafanya biasharaTafuta mtaji hapo, ingia kwenye biashara..
Kama hauna interest na mambo ya entrepreneurship, basi komaa hapo hapo.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Na unaweza kukomaa hapo hapo na wakati huo huo unafanya biashara
Maisha ni kupanga
Unaweza kulipwa 250,000 lakini humo humo kwa mwezi ukapata mara 3 ya hiyo au mara 2 ya hiyo.
Huo mshahara unaweza usiiguse.
Soma mazingira kwanza
Ni kweli, kikubwa ni kuangalia mazingiraInategemea na nature ya business unayo taka kufanya, sio kibiashara unaweza kufanya huku ume umeajiliwa..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiyo ni biashara ya utumwa.Leo nimeitwa kazini katika kampuni fulani hivi, wakanipa mkataba wa kazi mshahara baada ya makato yote ni Tsh 250,000/= sikua na namna nikasaini tu ule mkataba. Kikubwa ni kujifunza na kupata uzoefu maana ndio ajira yangu ya kwanza.
Elimu yangu ni shahada ya rasilimali watu.
Hongera sana. Mlango wa kwanza kufunguka. Piga kazi heshimu kazi na mabosi. Vumilia huku wajifunza na kujiongeza kikazi. Cv ikijengeka utapata sehemu bomba zaidi..Leo nimeitwa kazini katika kampuni fulani hivi, wakanipa mkataba wa kazi mshahara baada ya makato yote ni Tsh 250,000/= sikua na namna nikasaini tu ule mkataba. Kikubwa ni kujifunza na kupata uzoefu maana ndio ajira yangu ya kwanza.
Elimu yangu ni shahada ya rasilimali watu.