Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,858
- 14,731
Wabongo kwa kufundishana mbinu tupo vizuri.Unaweza kulipwa 250,000 lakini humo humo kwa mwezi ukapata mara 3 ya hiyo au mara 2 ya hiyo.
Huo mshahara unaweza usiiguse.
Soma mazingira kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo kwa kufundishana mbinu tupo vizuri.Unaweza kulipwa 250,000 lakini humo humo kwa mwezi ukapata mara 3 ya hiyo au mara 2 ya hiyo.
Huo mshahara unaweza usiiguse.
Soma mazingira kwanza
Wabongo kwa kufundishana mbinu tupo vizuri.
Wee pambana,mwanzo mgumu Siku zote,kazi yangu ya kwanza nilikuwa nalipwa gross salary 410,000 na allowance 60,000Leo nimeitwa kazini katika kampuni fulani hivi, wakanipa mkataba wa kazi mshahara baada ya makato yote ni Tsh 250,000/= sikua na namna nikasaini tu ule mkataba. Kikubwa ni kujifunza na kupata uzoefu maana ndio ajira yangu ya kwanza.
Elimu yangu ni shahada ya rasilimali watu.
GardaWorld inafika 260k-280,000/= baada ya makato mkuu.Bila shaka wewe ni mlinzi garda
GardaWorld inafika 260k-280,000/= baada ya makato mkuu.
Kuna special post kama state oil ndo walinzi wananyonya mpaka 560,000/= huko huendi kama wewe sio mjaluo au hujuani na wakubwa!
sawa, lakini soma tena thread kuna sehemu kasema " kuna sehemu nimeitwa kazini" halafu fananisha na Kk security position za security huwa wanafanyaje.Nimesema garda coz ndio mishahara yao 250k -300k
Huku officer wakila 530k
Hr kama hrLeo nimeitwa kazini katika kampuni fulani hivi, wakanipa mkataba wa kazi mshahara baada ya makato yote ni Tsh 250,000/= sikua na namna nikasaini tu ule mkataba. Kikubwa ni kujifunza na kupata uzoefu maana ndio ajira yangu ya kwanza.
Elimu yangu ni shahada ya rasilimali watu.
Mweeh
Kwa wahindi ndo kuna pesa nje nje, japo manyanyaso ya kufa mtuUnaweza kulipwa 250,000 lakini humo humo kwa mwezi ukapata mara 3 ya hiyo au mara 2 ya hiyo.
Huo mshahara unaweza usiiguse. Soma mazingira kwanza
Unamaanisha una degree ya HR? zis woldi izinti fea kabisa. Ila nyie jamaa mkitoboa mkakabidhiwa ofisi hua mnanyodo kinyama yaani, hapa ndio naelewa husstle mnazopitia.
Ahaaaahaaaaaa jamani huu uziKama wewe ni Me, ukiona umeshakwama kimaisha, tafuta dem mbaya mbaya ila mwenye kazi yake ya maana umuoe (infact, akuoe) upate mteremko wa maisha.. Madem wakali utakuwa unabonyeza kizenji mdogo mdogo huko nje ( I didnt say this.. Dont quote me)
Mkuu mbona unanitisha ngoja niendelee kumlamba miguu bosi wangu japo ana wenge na unaweza kumnasa vibaoHongera kwa kupata kazi mkuu mtaani ni pagumu balaa kuna graduates kibao tunaomba na kusali japo 150k kwa mwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuingiza kwenye maombi yangu mkuuPambana mkuu, huu mwaka wangu wa tatu natafuta hata ya kulipwa kiasi hicho sijapata. Maisha haya