Punguzq haraka af andika akili ikiwa imetuliaKwa MTU anaueajiriwa na serikali na anaanza a mshahara wa TGSD baada ya makato yote pamoja na deni la mkopo wa bodi ya mkopo atabakiwa na kiasi gani.
Nisaidieni wandugu.
Naombeni kikokotoo please.
Kama laki 4na 60 ivKwa MTU anaueajiriwa na serikali na anaanza a mshahara wa TGSD baada ya makato yote pamoja na deni la mkopo wa bodi ya mkopo atabakiwa na kiasi gani.
Nisaidieni wandugu.
Naombeni kikokotoo please.
Unauliza swali tena ,kabla ya makato ya bodi ni 600000Why 460,000 Mkuu?
Man.Kwa MTU anaueajiriwa na serikali na anaanza a mshahara wa TGSD baada ya makato yote pamoja na deni la mkopo wa bodi ya mkopo atabakiwa na kiasi gani.
Nisaidieni wandugu.
Naombeni kikokotoo please.
Hii hapa Loan Board wanalamba 15%TGSD
Hii hapa Loan Board wanalamba 10%View attachment 2693554
Unavyoongea kama mtu wa maana vile 🤭🤣Punguzq haraka af andika akili ikiwa imetulia
2022-2023Mhhhh hi scale ya mwaka gan mkuu?
Wewe ni TGS.A uliechangamka?Mhhhh hi scale ya mwaka gan mkuu?
Kwahiyo mtu wa ovyo mimi? SawaUnavyoongea kama mtu wa maana vile 🤭🤣
Wewe kule kwenye mademu wenye nyama nyama ndio kwako nimeshangaa kukuona huku 😅Kwahiyo mtu wa ovyo mimi? Sawa