Hiyo ni biashara ya utumwaLeo nimeitwa kazini katika kampuni fulani hivi, wakanipa mkataba wa kazi mshahara baada ya makato yote ni Tsh 250,000/= sikua na namna nikasaini tu ule mkataba. Kikubwa ni kujifunza na kupata uzoefu maana ndio ajira yangu ya kwanza.
Elimu yangu ni shahada ya rasilimali watu.
😂😂😂😂😂😂 halafu boss anadhamini timu
Atapata fursa gani humo labda aanze kuomba rushwa kwa waajiriwa wengine! Kazi ambazo unaweza kutegemea makubwa ni kama za utalii hata ukiambiwa utalipwa 300K nenda tu sababu magenji ni uhakika au kazi zinazo involve michakato movements za watu au mizigo kama logistics au procurement and supply, uhasibu ama mauzo! Kazi ya kukaa ofisini kutwa nzima yenye mshahara mdogo ni ya kuikimbia tu!Unaweza kulipwa 250,000 lakini humo humo kwa mwezi ukapata mara 3 ya hiyo au mara 2 ya hiyo.
Huo mshahara unaweza usiiguse. Soma mazingira kwanza
🤣🤣🤣Huo mshahara ni nauli na lunch yako kwa mwezi. Usiwe na haraka ya kutoa notice hapo kwa shemeji. Anagalia hali kwanza.
Acha kukopa mkuu. Unaweza kubakiwa hata na 735k kwenye mshahara wa 1Mhii mishahara acha iiendelee kuwa siri tu...
gross salary 1000000
deductions 550000
take home 450000
madeni ya nje 380000
kinachobaki mfukoni 70000...
vijana tunapitia mazito..
maisha bila mikopo hauwezi endelea kijana...take that from me....hamna mwajiriwa anayeweza keendelea bila kutegemea mikopo...Acha kukopa mkuu. Unaweza kubakiwa hata na 735k kwenye mshahara wa 1M
Ndo ishapangwa iyo sasDuuh nyie ma HR si ndo huaga mnatupangia wengine mishahara imekuaje sasa