- Thread starter
- #41
Kwa fresh graduate ambaye bado hujawa na majukumu makubwa sio mbaya kwa kuanzia..milango mingine itafunguka as you go. Kuna muimbaji aliimba "maisha ni foleni kila siku inasogea pole pole"
Kwahiyo usijali mdogo wangu utatoboa ila sio rahisi kuanza na mshahara mkubwa wakati ndio kwanza fresh graduate. Mshukuru sana Mungu kwa hicho alichokupa, kuna rafiki yangu alipata kazi akawa analipwa elfu tatu per day na degree yake.
Hiyo pesa ni kubwa tu kikubwa itumie kwa akili do not overspend, live within your means. Mungu akutangulie katika kazi yako mpya
Ahsante kwa kunipa moyo. Ahsante sana. Niliweka haya mawazo yangu humu ndani ili nipate mchango wa watu walionizidi experience lakini nimeambulia matusi tu.
Ahsante ntalifanyia kazi.