Am the One
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 901
- 885
Ndugu wewe uko sawa kwli ?? Sasa chagua moja kurudi nyumbani kusubiaria Ajira ya 1.5M au hiyo uliyopata kwa ss... ila kumbuka tu Majira hayajawahi kurudi nyuma..
sawa endelea kusubiri mshahara wa 1.5M,,,Inategemea na ulichosoma. Daktari na mwalimu hawawezi kulipwa kiwango sawa.
Ni ngum sana mtu (mbongo) aliyesugua benchi mtaani kwa muda mrefu afu akate mshahara wa laki tisa themanini elfu.
Watu tunalipwa laki unusu afu freshi, yeye analeta mbwembwe hapa aki natamani nimwambie boss wake aachane naye, anichukue mimi(joke)We ungeajiriwa METL ukalipwe basic 400k ndo akili ingekukaa sawa
We mbuzi kweli watu huu mwaka wa nne hatuna ajira wewe unakataa kisa mshahara mdogo? Fanya hapo huku unaongeza experience mbuzi kabisa.Habarini humu ndani
Kama nimekosea jukwaa mtanisamehe. Mimi ni fresh graduate. Nimemaliza chuo mwaka jana. Katika mishe za kutafuta kazi nimehangaika sana. Nime apply sehemu kama 10+ hakuna hata moja nilioitwa interview.
Basi hivi karibuni kuna dada alinielekeza mahali akaniambia hiyo sehemu kazi zipo ila wanalipa hela kidogo sana nenda pale muulizie flani huyo ndo anaajiri hapo.. Nikaenda kupeleka documents zangu hata hakufungua yule jamaa. Baada ya kuuliza chuo nlichosoma basi akaniuliza unataka mshahara wa shillingi ngapi. I asked how much do you offer akasema kiwango ambacho ni kidogo zaidi ya salary scale ya serikali (tsh 980,000) Kwa kua sijui ni uoga au ni desperation basi nikakubali. Akaniambia baada ya kuweka mambo yangu sawa nirudi.
Baada ya kutoka pale nilikua nimefurahi sana finally nimepata kazi lakini kila nikifikiria sina amani. I feel stupid. Nimeongea na rafiki yangu ameniambia yeye kapata kazi analipwa 1.5M hapo ndo nimechangamyikiwa kabisa. Nafikiria sijui nipotezee nisirudi pale. Sielewi cha kufanya. Kazi nataka lakini pesa ndogo. Sijui nifanye nini.
Unalipwa kiwango kidogo ukilinganisha na nani?Hamjanielewa shida sio kufanana na mtu, hapana. Shida ni kua nalipwa kiwango kidogo.
Niendelee kutafuta sehemu nyingine au nifanye hapo baada ya miezi kadhaa ni re negotiate na boss.
Naomba ushauri sio matusi
Acha kazi subiri nyingine itakuja980 ni scale ya serikali. Nitakua nalipwa 600 kwa mwezi.
Hamjanielewa shida sio kufanana na mtu, hapana. Shida ni kua nalipwa kiwango kidogo.
Niendelee kutafuta sehemu nyingine au nifanye hapo baada ya miezi kadhaa ni re negotiate na boss.
Naomba ushauri sio matusi
Ukute una GPA ya above 3.5..!!!Habarini humu ndani
Kama nimekosea jukwaa mtanisamehe. Mimi ni fresh graduate. Nimemaliza chuo mwaka jana. Katika mishe za kutafuta kazi nimehangaika sana. Nime apply sehemu kama 10+ hakuna hata moja nilioitwa interview.
Basi hivi karibuni kuna dada alinielekeza mahali akaniambia hiyo sehemu kazi zipo ila wanalipa hela kidogo sana nenda pale muulizie flani huyo ndo anaajiri hapo.. Nikaenda kupeleka documents zangu hata hakufungua yule jamaa. Baada ya kuuliza chuo nlichosoma basi akaniuliza unataka mshahara wa shillingi ngapi. I asked how much do you offer akasema kiwango ambacho ni kidogo zaidi ya salary scale ya serikali (tsh 980,000) Kwa kua sijui ni uoga au ni desperation basi nikakubali. Akaniambia baada ya kuweka mambo yangu sawa nirudi.
Baada ya kutoka pale nilikua nimefurahi sana finally nimepata kazi lakini kila nikifikiria sina amani. I feel stupid. Nimeongea na rafiki yangu ameniambia yeye kapata kazi analipwa 1.5M hapo ndo nimechangamyikiwa kabisa. Nafikiria sijui nipotezee nisirudi pale. Sielewi cha kufanya. Kazi nataka lakini pesa ndogo. Sijui nifanye nini.
Dogo nenda kapige kazi upate experience wewe maslahi baadaye, ndyo kwanza fresh graduate wenzio tulikaa benchi for 3 years tukaja kupata kazi mshahara 150,000/=
Fanya Kwa malengo either for a year ,then tafuta sehemu unayoona inakufaa zaidi
Kila rakheri,wanasema safari moja huanzisha nyingine, wakimaanisha ukiwa kazini ni rahisi kupata kazi Nyingine tofauti na ukikaa home ukisubiri ije. Kakomaee !
METL wameanza lini kulipa 400k...??We ungeajiriwa METL ukalipwe basic 400k ndo akili ingekukaa sawa
Basic. Maana yake wakikata naweza kuondoka na 400k.
Hata kama ni 400k, something is better than nothingJamaani sio laki 9 80 ningepata hiyo nisingekua hapa. Tatizo hamsomi kuelewa mnakimbilia kutukana tu.
Laki 9 unasema mshahara mdogo? Watu wanaishi na salary ya laki moja na maisha yanaenda ila kikubwa malengo..