Mitoto mingine sijui vp!
Ukiangalia apatacho mwenzio ukataka na ww utachemka,mm naanza kazi 2010 nikiwa fresh graduate class of 2009 nachukua net 400K nafundisha kichuo wakati sio mwalimu huku wenzangu wengi wao wapo >800K na wanafanya kazi zilizo kwenye taaluma zao ila sikupagawa.
2011 nikapata kazi iliyo kwenye taaluma yangu net ikawa ~250K nikaifuata huku nikiacha ile ya awali yenye hela nzuri zaidi lakn nikiamini hii itanijenga zaidi kitaalamu(maono ya mbali),after a year salary ilianza kupaa kwa kasi na promotion za ajabu mpaka nikashangaa.
Ningeangalia wenzangu wanapata nini ningebaki chini mpaka leo kwa kung'ang'ania ile laki 4.
Focus young fella!