Soma post namba 5 hapo juu. Ukielewa mantiki ya alichofafanua Dr hapo,huwez kulalamika tenaHamjanielewa shida sio kufanana na mtu, hapana. Shida ni kua nalipwa kiwango kidogo.
Niendelee kutafuta sehemu nyingine au nifanye hapo baada ya miezi kadhaa ni re negotiate na boss.
Naomba ushauri sio matusi