Huwa najiuliza, ni baada ya unaemtafuta kumkosa shule, chuo, kazini, mtaani, kanisani au msikitini, ndio unakuja kumpata mitandaoni au huwa Hamupiti huko munakuja moja kwa moja mitandaoni. Kama jibu ni hili la pili, basi mnajiamini na mnahitaji hongera.
amazingKuiona papuchi kwa mara ya kwanza tu tayari mbiombio unaleta mrejesho?
Ukianza mapema ndio vizur kuzingua shule ni akili za mtu 2 co mapenz wala kitu kingneAngalia shule yako mwanangu usije juta,mapenzi yapo tu na yataendelea kuwepo.
asanteHongera sana
haya ukatulie sasa na miaka yako hiyo 22 mdogo angu
Siku nyingine utakuja kutongoza jini dogo acha mambo ya kiwaki
Hahahahahahaha just hahahahahaha 22years???? ....mwanamke wako ana mtindio wa ubongo labda
Sikiliza kijana .Asikutishe MTU.Jf ni sawa na mtaani.Wangapi tumefahamiana humu na nje tukaja onana na kusaidiana kwa mengi.Wengi hawasemi wameoana toka JF.Kikubwa ni uvumilivu.Huyo anayekukatisha tamaa muulize hapa anatafuta nini na why Jf wakaanzisha love connect INA maana hawana akili.asante
Dole gumba mkuuSikiliza kijana .Asikutishe MTU.Jf ni sawa na mtaani.Wangapi tumefahamiana humu na nje tukaja onana na kusaidiana kwa mengi.Wengi hawasemi wameoana toka JF.Kikubwa ni uvumilivu.Huyo anayekukatisha tamaa muulize hapa anatafuta nini na why Jf wakaanzisha love connect INA maana hawana akili.
Kijana Chapa kazi!!
Sipo kuonja onja najua utu mkuu mana unapo onja onja kila sehem hata wew unachunguliwa na kila unae mpitia.Ila mkuu huyo Dada hawez kusema umri wake halisi.
Ila Kwasababu na wewe ndio umri wa kuonja onja endelea tu mkuu.