Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,499
- 70,296
Siku nyingine utakuja kutongoza jini dogo acha mambo ya kiwaki
Siku nyingine utakuja kutongoza jini dogo acha mambo ya kiwaki
Hawezi fuatwa na watu 100 akakubaliana na wote huyu atakuwa na nia na akamfuata mpaka hukoKama umeweza kutana nae mtandaoni na ukamzukia huko moshi, unajua ni wangapi, amechat nao humu na wako pia wamemzukia
Umepoteza nauli kufuata papuchino mzee.
Anway tunasubiri nanyi 'Cc' zenu kama za smart na Mahounda
Kwema?Hahah
Kwa bahat nzuri bado tunasoma wote mim na yeye
Asante bro ndio nimempenda hivyhvyo [HASHTAG]#2018isgoingon[/HASHTAG]Hahahahahahaha just hahahahahaha 22years???? ....mwanamke wako ana mtindio wa ubongo labda
Asante dada!Hongeraa sana
L.O.LEee Mungu nisamehe kwa kucheka kwa sauti.
bado niko moshi mkuu, hilo swali sitolijibu mkuu.Ulivyoenda ulimgegeda au ulitupa tu nauli
JF Raha sana! nasubir uliunge age mateAge mate nakuona nakuonaaaaa nakuonaaaaaa nakuonaaa Age mate ngoja na mm nmalizie hizi module za semester ya pili hii then ntaliunga tena humu humu jf aseeeeee ...
Wewe ni mwanaume mjinga mno, uko shule unakosaje mwanamke huko?? Udomo zege wako kuwaface madem ndiyo changamoto yako mpk uone mhenga anafaa eti mapenzi hayana umri nani kakudanganya..??Kwa bahat nzuri bado tunasoma wote mim na yeye
Hayo ni maneno tu! ila ndio huyu amenifaa hata ukichonga earphone zpo maskion mwangu aina ulazima kuwa na mwanamke shule,Wewe ni mwanaume mjinga mno, uko shule unakosaje mwanamke huko?? Udomo zege wako kuwaface madem ndiyo changamoto yako mpk uone mhenga anafaa eti mapenzi hayana umri nani kakudanganya..??
Bado mkuu nitakualikaTUALIKE NA WALI WA ARUSI PLZ