UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Chanjo bado zipo katika hali ya majaribio kwa wakati huu hatuwezi kusema si salama au kusifu mafanikio ya hizo chanjo,ni mapema bado. Sasa sijui kwanini tunamshinikiza rais aamue kukubali chanjo haraka haraka ikiwa mwenyewe ameona kuna haja kusubiri kwanza. Kwanini uamuzi wake uonekane si sahihi na kuonekana uamuzi ni mmoja tu wa kukubali haraka kuagiza chanjo?Ninyi ndio Wachawi dhidi ya Umma,mshaurini Mwanamalundi kwa staha ambalo chanjo kwa raia wake