Nimepata ajali, niombeeni wana JF

Nimepata ajali, niombeeni wana JF

Mbona siuelewi uzi wako? Member ameeleza yaliyomsibu na wewe unaishia kumkashifu kwa kusema hakuna mwendesha bajaj au bodaboda mwenye akili timamu. Unaenda mbali zaidi na kusema tezza ingekumaliza lofa wewe. Ni nini hasa kinachomfanya huyu aliyepata ajali kuwa lofa? jee, ni kweli kwamba waendesha wote wa bajaj au bodaboda hawana akili timamu? Mnusurika wa ajali hastahili matusi hayo. Badala yake anahitaji kupewa pole.
Alafu ukizingatia mwanajamii mwenzetu,anakuja mtu anamponda

Ova
 
China ina kamera zaidi ya milioni 500

London inaongoza duniani kwa kuwa na kamera nyingi kwa idadi ya watu.

Marekani pia ina kamera nyingi

Nchi zote hizo kuna matukio hutokea na watu hawajakamatwa hadi leo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Jiulize ni wangapi wanakamatwa kwa msaada wa kamera hizo.
 
Pole askari wewe ni mpambanaji masaibu yamekukuta ukiwa unaelekea kutafutia familia, kila kitu kitakaa sawa wala usihofu, wanaokuponda ni akina kajamba nani ambao ni wafuasi wa yule mkimbizi wa canada wewe utakua sawa tuu
 
Pole askari wewe ni mpambanaji masaibu yamekukuta ukiwa unaelekea kutafutia familia, kila kitu kitakaa sawa wala usihofu, wanaokuponda ni akina kajamba nani ambao ni wafuasi wa yule mkimbizi wa canada wewe utakua sawa tuu
Heshima mkuu
 
Yan umepata ajari na bado unaguvu ya kuandikajamii forum akuna saint wala malaika wa kukuombea humu

Tafuta tiba maombi hayatibu wal hayasaidii
 
Habari JF,

Leo mida ya saa kumi na Moja Kamili, nikiwa na Bajaj yangu kazini, natoka mji Mwema kwenda ferry Kigamboni.

Nikiwa katika low speed ukizingatia hali ya hewa nikiwa upande wangu, ghafla niliona altezza White imeovertake Iko mbele yangu.

Aisee, nilijitahidi kukwepa lakini alikuwa speed sana, baadaye kakimbia sijui hata rangi ya gari, Nina maumivu kichwani na mguuni.

Bajaj yangu Ina Bima kubwa
Askari wamepima na kuchora
Taratibu zingine zipoje nirudi kazini

View attachment 2558751View attachment 2558752View attachment 2558754
Pole sana.
 
Habari JF,

Leo mida ya saa kumi na Moja Kamili, nikiwa na Bajaj yangu kazini, natoka mji Mwema kwenda ferry Kigamboni.

Nikiwa katika low speed ukizingatia hali ya hewa nikiwa upande wangu, ghafla niliona altezza White imeovertake Iko mbele yangu.

Aisee, nilijitahidi kukwepa lakini alikuwa speed sana, baadaye kakimbia sijui hata rangi ya gari, Nina maumivu kichwani na mguuni.

Bajaj yangu Ina Bima kubwa
Askari wamepima na kuchora
Taratibu zingine zipoje nirudi kazini

View attachment 2558751View attachment 2558752View attachment 2558754
Pole, feel better soon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom