Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 24,884
- 27,010
Hapo kwenye Subaru tutoe bakia na wenye alteza,IST na vitzWengi ni wapumbavu wapumbavu
Hapo kwenye Subaru tutoe bakia na wenye alteza,IST na vitzWengi ni wapumbavu wapumbavu
Pole sana Mkuu, waendesha Altezza na Subaru akili zao huwa zina mwelekeo fulani hivi, hata wakiwa wanaongea wana makelele kama exhaust za magari yao sijui shida nini?







khaaaaahPole sana, kikubwa uhai bado unao,Habari JF,
Leo mida ya saa kumi na Moja Kamili, nikiwa na Bajaj yangu kazini, natoka Mji Mwema kwenda ferry Kigamboni...
Kwa kweli hilo ndilo la msingi. Uponaji tena wa haraka.Du, nimejikuta nacheka kwa sauti!
Namtakia uponyaji mwana JF mwenzetu.