Naendelea vizuri.Unaendeleaje mgonjwa?
AhsantePole sana kamanda
Afadhali,Mungu akutie nguvu kwa hizo changamotoNaendelea vizuri.
Kesho ndio nataka kufuata taratibu za Bima ili kujua ntapewa mpya au itatengenezwa.
Kwa majibu ya hospital wamesema hakuna shida, ila ndani ya tumbo nasikia kama joto tu...
Pengine kote sawa mkuu
Wamekucheki na tumbo au umewaambia jinsi unavyojisikia..?Naendelea vizuri.
Kesho ndio nataka kufuata taratibu za Bima ili kujua ntapewa mpya au itatengenezwa.
Kwa majibu ya hospital wamesema hakuna shida, ila ndani ya tumbo nasikia kama joto tu...
Pengine kote sawa mkuu
Sawa mkuuWamekucheki na tumbo au umewaambia jinsi unavyojisikia..?
Halafu make sure unapimwa sio unaangaliwa kwa macho tu...
Watake radhi aisee 😀Pole sana. Madereva Alteza wengi sio timamu.