sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Sasa hiv nmemuona kupitia itv kama mgeni rasmi kwenye mahafali ya JKT mgulani ebu mlio karbu nae nijibuni swali hili; Mh Dr Tulia ni Mama kijacho au kanenepa tu? Natambua kuwa ni mwana mama na ana haki ya kuwa na mtt ila naomba kujua maana amekuwa akinivutia na umbo lake no nane ila leo sijaliona tena