30+Una umri gani
Nitake radhi kijanaUnaweza kuta ni mid 20's si umeona bado anaenda kuonana na mshkaji wake nyumbani kwao!!!???
Wanaume tunakutana location sio nyumban. Vijana wadogo ndio wanaenda kutembeleana nyumba za wazazi wao
Nimesifia wapi?Kwa hii mada yake bado n kijana wa hovyo mana n kama amesifia alichokifanya
Jikite kwenye madaKuna watoto wanamuita huyu jamaa Baba na kuna mwanamke anasema ana mume hapa.
Inasikitisha sana. Kweli mitano tena kwa mama kama vijana wenyewe ndio hawa.
Macho hayana paziaSure!!!
Kwa nini umuangalie sehemu za siri tu na sio maeneo mengine eg miguuni
Kwenye mada.Nimesifia wapi?
Mwambie mwanaeWakuu
Kwa masikitiko makubwa sana naleta huu uzi hapa jamvini.
Nimemtembelea rafiki yangu ambae aliniambia yuko likizo nyumbani kwao,sasa nimefika nikapiga hodi hakuna aliyeitikia,nikaamua kukaa nje tu pale nisubiri wahusika waje,huyu jamaa kwao wanatumia bafu la nje,nikaona mlango wa bafu unafunguliwa,mama wa jamaa akatoka akawa kama anajifunika kanga hivi vizuri nikaona uchi wake.huyu mama kiumri ni mtu mzima huenda akawa na miaka 60+.alivyoniona akaniambia tu kyanyangwe mwanangu hujambo nami nikazuga ka sijaona k yake nikawa namsalimia kwa adabu zote.
Huu utupu wake kuuona umeniacha na mawazo sana kwa kweli nisije nikapata laana bure.
Bro bora wewe ume lala, mimi nawaza jau za vijanaNgja nilale hii jf ya leo nyuzi zake sielewi ...
It could be worse than staying silent.It was by accident. Why do you report it?
Kwani yeye mbuzi au panya kupandana hata na mama zake au anatokea karibu na mlima mrefu ambako haya mambo ni kawaida?Omba game fasta
Huwezi pata laana, maana mhusika hajakusudiaWakuu
Kwa masikitiko makubwa sana naleta huu uzi hapa jamvini.
Nimemtembelea rafiki yangu ambae aliniambia yuko likizo nyumbani kwao,sasa nimefika nikapiga hodi hakuna aliyeitikia,nikaamua kukaa nje tu pale nisubiri wahusika waje,huyu jamaa kwao wanatumia bafu la nje,nikaona mlango wa bafu unafunguliwa,mama wa jamaa akatoka akawa kama anajifunika kanga hivi vizuri nikaona uchi wake.huyu mama kiumri ni mtu mzima huenda akawa na miaka 60+.alivyoniona akaniambia tu kyanyangwe mwanangu hujambo nami nikazuga ka sijaona k yake nikawa namsalimia kwa adabu zote.
Huu utupu wake kuuona umeniacha na mawazo sana kwa kweli nisije nikapata laana bure.
It could be worse than staying silent.
Au akaji confess police 🫢[emoji23] [emoji600][emoji599]