Rastaman Chant
Member
- Apr 19, 2018
- 59
- 69
Habari ya saa hii jameni,nimeona papa wa urefu kama futa tatu na ushee akiuzwa kwa soko ya samaki.
Swali nataka uliza😛apa analiwa? Because once nilipata kusikia wako wenye sumu hawafai kwa kukula.
Just curious mazee
Swali nataka uliza😛apa analiwa? Because once nilipata kusikia wako wenye sumu hawafai kwa kukula.
Just curious mazee