Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,739
- 76,374
Nilikuwa nafanya biashara ya kuuza meno yao kwa wataliiNajua hilo! Mm nmefanya biashara ya uvuvi pia papa Nlikuwa nafukuzia mapezi unajua kuna papá mweusi na Mweupe yaani aina ya sumbwi na sarawanzi hao ni aina ya papa
Ova