Nimeolewa na golikipa nifanyeje?

Nimeolewa na golikipa nifanyeje?

hahahahahahahahahaha atabadilika tu, hata Asprin alikuwaga golokipa na nilimvumilia tu mume wangu mpaka alivyopata ya kuwa michuzi wa jf!
 
Last edited by a moderator:
Acha kumdhalilisha mwenzio wakati mnaoana hukujua elimu yake? Natamani nikutukane tusi baya maana huna akili kabisa
 
Shosti sijakuelewa vizuri kwani mwanzo alikua na kazi au biashara yakumuingizia pesa japo yakukodo chumba au umeigia tuu kwenye ndoa sababu jua limeshakuchwa ukaona uondoe mkosi? na hayo yakuheshimiwa hukuyaona mwanzo kama huyu bwana anapenda akipita wewe usimame? jengine ushauri wa mambo yakua uendelee nae au uachane nae unao wewe,raha zake na dhiki zake wewe ndio unavumilia,na kama kawaida ya binadamu ana uzuri wake na ubaya wake na wewe ndio unaujua, sasa basi jua kua ndoa sio mchezo kuna kuvumiliana,na mweleze kwa mapenzi lolote unalotaka atakubali, ulimi wako ndio kila kitu jitahidi,usikate tamaa mapema....
 
njooo nikuoe mwenye degree mwenzako nipo hapa
 
Suala la mapenzi hasa kumwacha au kuendelea kuwa naye siyo la kushauriwa, "you should listen to your heart when it comes to matters of love"

One more thing, wakati mnaoana alikuwa anashughulika na nini?

Ngoja nimjibie, hakuwahi kuwa na shunguli huyo bwana, nahisi huyu dada alikua anasafisha nyota. Imekuwa safi sasa analeta mbwembwe. Ki ukweli inasikitisha pale unamuita mwenza wako majina ha kashfa wakati nae ana mchango kwa njia moja au nyingine. Hivi huu uchoyo au uroho tunafundishwa na watu gani? Ubinafsi usiokuwa na tija? Mungu akunusuru, hiyo degree yako bado sana nenda Masters.
 
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu

Pole sana dada, yaani umeniuzunishaje!!! Nasikia Kulia.
Hivi wewe mpaka ukaolewa na golikipa, std seven Ulilogwa?
Kwa nini wanawake hamjitambui jamani, umesomeshwa, una kazi yako ya maana kinachokufanya uamue kujitoa KAFALA ni nini? UMEJILIPUA rafiki. Kukata gani tamaa uko, mpaka haujui unataka nini huku duniani.
Ungekuwa karibu yangu NINGEKULABUA KIBAO.
 
bidada ushauri ulitakiwa uombwe kabla maji hayajamwagika. Au ndiyo mambo ya flashback style?
nakumbuka wimbo wa kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe......
 
Utumbo kama huu sichangiagi!
Kakojoe ukalale huko
 
toka mwanzo hukuona hilo au umepata degree mwenzako unaanza kumnyanyapaa mumeo.....kama swala la yeye kutaka kuheshimiwa kama Obama mnaweza kukaa na kulizungumza

Degree kaigharamia yeye kwa nini asitake heshima na product yake?
 
Ndio umegundua wakati upo kwenye ndoa? Wakati wa uchumba halikuwaje? Kuna kitu kime miss hapa! Inaönekana jamaa alikuwa ana hela sana ya biznes au madili sasa amefua ndio unasema hvyo.
 
wewe cheza namba zote wangu za ndani!! hata rafu
 
Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu

Kabla ya kuoana ulimshirikisha Mungu?

Kama ulimshirikisha huoni kuwa umrudie Mungu kumuuliza kulikoni?

Kama hukumshirikisha basi sisi wanadamu hatuwezi kutoa msaada wowote maana tu wadogo sana kwake...
 
Mungu atambadilisha, vumilia.
hizi ndio imani potofu kushinda zote duniani na ndio zinaua watu maskini ,nani kakuambia mungu anafanya kazi za kipumbavu namna hiyo???jisaidie nami nitakusaidia
 
Kwa analysis zangu; its either wakati unasoma jamaa ndo alikua anakuwezesha kiuchumi , au huendaikawa jamaa alikua konda au dereva wa shuttle za chuo, ukawa hulipi nauli inexchange of sex hatimae mkaishia kwenye unexpected ndoa
 
  • Thanks
Reactions: awp
Labda alimdanganya ana MBA! ha haha ha ha

wanawake vituko vitupu. utakuta jamaa amesoma he is stable economically na anamhudumia kwa kila kitu, lakini mwanamke amepata dogodogo pembeni anaanza kumdhalilisha mumewe
 
Back
Top Bottom