Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

Hii yote ni sababu ya mmeo kutokupa attension yaan mungu atuepushie.

Pole ila vumilia usisalti ndoa
 
Acha ujinga huo. Ukijaribu tuu, utakuwa mtumwa wa ngono wa huyo jamaa na utaogopa kumnyima kwa hofu ya jamaa kutoa SIRI yako, pia anaweza kukurukisha ukuta( 0713) na kukuharibu kabisa, mwisho wa siku mumeo atagundua, ndoa itakufa utadhalilika kazini, mtaani hadi kwenu. Pia kuna mimba, magonjwa ya zinaa na ukimwi.
 
Nmekupata kumbe ndiomaana nilikuwa nasema mbona mke wangu kabadilika kumbe umepata bwana nje safi ngoja nirudi badae home asanten jf kwa ID fake zimeniwezesha kumnasa mtuhumiwa hapa
 
Pale kwenye point ya kusali sana nina mashaka nayo,,,inawezekana sio kweli,,maana mshika sala mzur anaejielewa hua na mawazo tofaut kabsa,,ila inawezekana mmeshagegedana tatizo tu unataka tukuhalalishie,,ila yte kwa yte wewe ndio mkwel wa wewe peke yako.... Na wewe ndio unapaswa kuongea na wewe peke yako
 
1.sali
2.tafutaa kazi nyingine.
3.tafuta ushaurii was mtuu was karibu
4.epuka kuwa nae mahali pasipofaa
5 fanya urafiki na mchumba wake( or muke
6. Lisha akili yako mawazo mazuri
7.passe more time with your husband
8 eshimu ndoa yako na mumeo
 
I guess your 9 Years Marriage is due a SWOT analysis.....try to make this annually and you will see the results.

Kwa wana ndoa wengine na wale tulioko kwenye nipo, sipo, tupo tupo tu.... mahusiano mjaribu hii kitu. .....Uchambuzi wa SWOT.

I take Marriage as a Business it has to Grow....

Ni maoni yangu tu....
 
Wakuu nahitaji mawazo yenu kwa kipindi hiki cha majaribu nachopitia.
Mi nimeolewa nna miaka kama 9 kwenye ndoa na kwa kipindi hiki chote nimepitia mazuri na changamoto pia ila sikuwahi kujutia ndoa.Jamaa aliyenioa ni msomi na anajua kuitafuta hela.Kiufupi tuna maisha mazuri nina kila kitu nachokihitaji km nyumba,usafiri wa maana na two beautiful kids.

Ktk kipindi cha ndoa nimepitia changamoto kwa huyu mume wangu.Kiufupi anapenda starehe pombe kwa sana na company za washikaji.Me sio mnywaji wala sitoki kiivo nikitoka job ni home kuangalia watoto na nyumba.Kiufupi ni mke mwema flan!!yes najiamini kwa hilo.Jamaa nishafumania msg za wanawake mara kibao ila naishia kusamehe na sikuwahi kuwaza kulipiza.Huwa nasali sana nikipitia hizi changamoto na Mungu ananivusha salama.

Sasa basi kilichonifanya nilete huu uzi jamvini ni situation niliyonayo now.Kiufupi miezi km 6 iliyopita nimekutana na jamaa ktk kazi flani.Jamaa ana mvuto na alikua ananipa attention flan ivi throughout..Tuliclick haraka sana tukawa close.Ilitokea tu sijui kwa nn..Nilinotice jamaa ananicare vby sana. Mwanzo nilichukulia poa ila siku zilivoendelea kwenda nikaanza kumfeel taratibu.

The eye contact was awkward btn us na imefika mahali najiona nashindwa kuresist.Nikiwa nae under one room nashindwa kabisa napoteza uchangamfu naishiwa pozi kbs.Jamaa anaonyesha interest za wazi ila najikaza knowing kwamba am married ataniona a cheap woman.

Huwa tunaongea mambo mengi na ananieleza issues zake kibao.Kuna siku alinifungukia ila nikavunga nikamwambia its better tuwe mbalimbali coz me ni mke wa mtu na siwezi cheat on my husband.Baada ya hapo akanikaushia km wiki.Aisee nilikonda kwa mawazo.Baadae tukaanza kuwasiliana upya na jamaa anaomba kidate na mm anataka tuspend tym wawili.Kashanialika kwake mara kibao nachomoa.Imefika mahali najiona ntashindwa huko tunakoelekea siko.
Kiufupi kinachonitatiza ni haya yafuatayo:

1.jamaa anajua me ni mke wa mtu so its obvious anataka game tu hakuna mapenzi.

2.Since ni coworker baada ya game ntamwangaliaje ofcn?

3.Naogopa reputation yangu among my workmates wakijua nimetoka na jamaa since wanaume hawana siri.Aisee mi ni mdada nayejiheshimu na wananiona nina bonge la mume.

4.Namfeel mno jamaa na siimagine kupotezea hizi feeling.Ni mtu anayenifanya niwe happy muda wote,confident about myself na I feel lyk a woman again.

Wakuu nisaidieni namna nitakavyohandle hii situation maana naumia kiukweli natamani niuridhishe moyo wangu ila nawaza consequence,kumpotezea jamaa nashindwa naumia at the same time sitaki kuharibu maisha yangu.
Mpe mzigo
 
Unataka kutema BIg G kwa karanga za kuonjeshwa? Hata huyo anamvuto coz ndio penzi jipya kama ilivyo awali kwa mumeo.
 
Yaani nlijua tu ple juu ulipoanza na ushafumania mesej za mume wko mara kibao ukasamehe mara ni mke mwema cjui unasali sana ushatengeneza mazingira dd so we gawa tu ili kibalance mbona ye umemfumania sana tu? haaaaaaaaahaaaaaaaa eti "mke mwema flan hv"
 
Kama unaona hilo pepo linataka kukushinda nguvu na wewe hutaki kulivulia chupi, kamshtakie kwa Mumeo. Mwambie kuna mtu anakusumbua ofisini kama vipi husband apige biti.
Ogopa sana mwanamke anayekuja kushtaki et anatongozwa.
 
Dada tafadhali mchepuka sio deal baki njia kuu, huyu mjamaa unasema anakurejesha kujihisi ni mwanamke tena ni kwasababu hajaiyonja hiyo k yako akikupitia tu anatupa kapuni ni vyema ukabaki kwa mumeo dada tafadhali sana
 
Kinachonifurahisha ni comments za wanaume. Very interesting. I wish the story was the other way round.
Wanaume hatuombagi ushauri zinapokuja nafasi adimu kama hizo. Men are naturally more polygamous than women. You know it well.
 
Wakuu nahitaji mawazo yenu kwa kipindi hiki cha majaribu nachopitia.
Mi nimeolewa nna miaka kama 9 kwenye ndoa na kwa kipindi hiki chote nimepitia mazuri na changamoto pia ila sikuwahi kujutia ndoa.Jamaa aliyenioa ni msomi na anajua kuitafuta hela.Kiufupi tuna maisha mazuri nina kila kitu nachokihitaji km nyumba,usafiri wa maana na two beautiful kids.

Ktk kipindi cha ndoa nimepitia changamoto kwa huyu mume wangu.Kiufupi anapenda starehe pombe kwa sana na company za washikaji.Me sio mnywaji wala sitoki kiivo nikitoka job ni home kuangalia watoto na nyumba.Kiufupi ni mke mwema flan!!yes najiamini kwa hilo.Jamaa nishafumania msg za wanawake mara kibao ila naishia kusamehe na sikuwahi kuwaza kulipiza.Huwa nasali sana nikipitia hizi changamoto na Mungu ananivusha salama.

Sasa basi kilichonifanya nilete huu uzi jamvini ni situation niliyonayo now.Kiufupi miezi km 6 iliyopita nimekutana na jamaa ktk kazi flani.Jamaa ana mvuto na alikua ananipa attention flan ivi throughout..Tuliclick haraka sana tukawa close.Ilitokea tu sijui kwa nn..Nilinotice jamaa ananicare vby sana. Mwanzo nilichukulia poa ila siku zilivoendelea kwenda nikaanza kumfeel taratibu.

The eye contact was awkward btn us na imefika mahali najiona nashindwa kuresist.Nikiwa nae under one room nashindwa kabisa napoteza uchangamfu naishiwa pozi kbs.Jamaa anaonyesha interest za wazi ila najikaza knowing kwamba am married ataniona a cheap woman.

Huwa tunaongea mambo mengi na ananieleza issues zake kibao.Kuna siku alinifungukia ila nikavunga nikamwambia its better tuwe mbalimbali coz me ni mke wa mtu na siwezi cheat on my husband.Baada ya hapo akanikaushia km wiki.Aisee nilikonda kwa mawazo.Baadae tukaanza kuwasiliana upya na jamaa anaomba kidate na mm anataka tuspend tym wawili.Kashanialika kwake mara kibao nachomoa.Imefika mahali najiona ntashindwa huko tunakoelekea siko.
Kiufupi kinachonitatiza ni haya yafuatayo:

1.jamaa anajua me ni mke wa mtu so its obvious anataka game tu hakuna mapenzi.

2.Since ni coworker baada ya game ntamwangaliaje ofcn?

3.Naogopa reputation yangu among my workmates wakijua nimetoka na jamaa since wanaume hawana siri.Aisee mi ni mdada nayejiheshimu na wananiona nina bonge la mume.

4.Namfeel mno jamaa na siimagine kupotezea hizi feeling.Ni mtu anayenifanya niwe happy muda wote,confident about myself na I feel lyk a woman again.

Wakuu nisaidieni namna nitakavyohandle hii situation maana naumia kiukweli natamani niuridhishe moyo wangu ila nawaza consequence,kumpotezea jamaa nashindwa naumia at the same time sitaki kuharibu maisha yangu.
Muombe ushauri mme wako ambaye upo nae karibu
 
Ndo maana nimesema kwenye post nyingine hapo juu kuwa michango ya wanaume wengine kwenye huu uzi ni very interesting.

My understanding is that it takes two to tango, meaning that hata mume wake anahusika kwa hili. Vinginevyo, mke wake asinge-develop hisia kwa mtu mwingine.

Kama mleta mada atafanya yote alivyoshauriwa hapa, hakutakuwa na mabadiliko mpaka pale mume wake atakapotambua tatizo na kukubali kubadilika pia.

Ila ukweli ni kwamba wake za watu huwa wana-cheat tena sana tuu sema they know how to do it bila kukamatwa.
Problem inakuja je amemwambia mumewe hvyo ana vyovimiss
 
Kama una mke, watoto wawili na viusafiri nyumbani basi muda wakumchunguza mkeo umefika.
 
Back
Top Bottom