Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

Dada pole sana ila nitakushauri nankukuuliza kwa kauli tofaut na wenzangu,,,hua sina kauli nzur sana hvyo nisamehe maana ukikereka ndio vzr ndio utakua umeelewa,,

Binadamu wengi vichwa panzi wanaamin kwamba ukijua kuitafuta hela na kuipata,,ukawa na mirad mingi unakua umefanikiwa,,, nonsense..

Binadamu tukiwa tunapata pesa wengi tunasahau tulipotoka,umejiuliza kwa nn mumeo ni mlevi?? Sawa unasali sana hua unaombea mumeo aachane na shetan wa pombe??

Binadamu hasa MWANAUME huwa hakataliwi kwa maneno tu,,anakataliwa kwa vitendo,,we umejiweka karibu then unataka ushauri kweli?au unamtaka unaigopa tu kusema hapa jukwaani?

Pole sana kwa unayopitia so ina maana huku jukwaan zikifika comment 200 na 150 inakushauri umpe jamaa hyo BWIMBWI YAKO utakuja kutupa mrehesho hapa??

Ndoa yako na watoto wako vina thaman kuliko dushe la huyo jamaa anaetaka kukumwagia mizungu yake bas,,,umeipigania ndoa miaka 9 halaf karagos mmoja aje kukuzuzua kwa kipi haswa?? Mm ni mwanaume tena mwanaume naejielewa na mwnye misimamo lakin tabia za wanaume unazijua vzr akishakupa bakora zake??

Kumfumania mumeo kwa sms au vip sio kigezo cha wewe kurudisha kisa umemfuma sms kwa simu yake..

NB: maisha ya kupata pesa na kumiliki vingi sio kwamba ndio mafanikio pekee,,mafanikio ni kua na vingi ambavyo pesa haiwez kununua,,umefanikiwa katika sekta ya maisha ila unataka kuyachezea mafanikio yako ktk liwazo la mwili na hisia duuuh,,,kitu pekee kisichoisha kwa mwanadam yaan kisicho na limit ni uvumiliv,vumilia na muepuke sana na umkatalie kwa vitendo sio maneno...

Karibu tusikilize nyimbo ya 4 NON BLONDES- whats up

Tchao
 
kwanza mwanaume anaekutaka na wewe ni mke wa mtu jua hakupendi wala hana akili
anakupenda kwa sababu anajua wewe ni cheap huna gharama na akishakukula atakuzarau kama takataka vile na kukutangaza utashangaa unatongozwa na ofisi nzima
Hilo ni kweli na tukipita huwa haizid mara mbili baada ya hapo haturaki mazoea!
 
Najiheshimu sana ningekuwa cheap ningeshavua nguo nafight against hii hali na ujue kuwepo kwenye ndoa sio ticket ya kutokuwa tempted.
-Ofisini ongeeni habari za kazi tu, KAMWE usiruhusu mizaha kati yenu
-Baada ya muda wa kazi au muda wa mapumziko usitoe nafasi ya kuongozana naye, kuchat chat naye etc
-Dhambi ya uzinzi ni tamu LAKINI ni kwa kitambo tu, madhara yake ni zaidi ya huo utamu wa sekunde kadhaa. Na hakuna madhara ya kwanza tu mtu anayopata kama kujutia nafsini mwake mara baada ya tendo hilo.
-Kwa njia ya maombi katika jina la Yesu vunja huo uhusiano wa kutamaniana kingono, hapa lazima wewe mwenyewe pia uweke nia ya kukataa hayo matamanio.
-Katika yote usimuogope mume wako au kuwa na hofu ya kwamba wewe ni mke wa mtu, kumbuka jambo moja kuwa yupo Mungu anayeona kilakitu. Huwezi kujificha kwake hata kama utakimbilia wapi, lakini ndiye aliyesema kila mume awe na mke wake mwenyewe na kila mke awe na mume wake mwenyewe.
 
Kweli wanawake wakuoa karne hii hakuna kabsa..umeshamfeel MTU na kumpenda alafu unakuwa reasonable!eti Mume mlevi or ana michepuko kbao. is stupidity.nenda kachezewe alafu kazeekee kwenu!ipo siku kitanuka tuh.
 
hivi ukiwa na feelings na mtu lazima akugegede??

fanya kama huyo mtu ni muigizaji unayempenda na huwezi kumpata
au muombe ushauri mumeo
Kwamba kuna mtu anataka ampe nyap au amuombe ushaur gan kwa mumewe?
 
Dada pole sana ila nitakushauri nankukuuliza kwa kauli tofaut na wenzangu,,,hua sina kauli nzur sana hvyo nisamehe maana ukikereka ndio vzr ndio utakua umeelewa,,

Binadamu wengi vichwa panzi wanaamin kwamba ukijua kuitafuta hela na kuipata,,ukawa na mirad mingi unakua umefanikiwa,,, nonsense..

Binadamu tukiwa tunapata pesa wengi tunasahau tulipotoka,umejiuliza kwa nn mumeo ni mlevi?? Sawa unasali sana hua unaombea mumeo aachane na shetan wa pombe??

Binadamu hasa MWANAUME huwa hakataliwi kwa maneno tu,,anakataliwa kwa vitendo,,we umejiweka karibu then unataka ushauri kweli?au unamtaka unaigopa tu kusema hapa jukwaani?

Pole sana kwa unayopitia so ina maana huku jukwaan zikifika comment 200 na 150 inakushauri umpe jamaa hyo BWIMBWI YAKO utakuja kutupa mrehesho hapa??

Ndoa yako na watoto wako vina thaman kuliko dushe la huyo jamaa anaetaka kukumwagia mizungu yake bas,,,umeipigania ndoa miaka 9 halaf karagos mmoja aje kukuzuzua kwa kipi haswa?? Mm ni mwanaume tena mwanaume naejielewa na mwnye misimamo lakin tabia za wanaume unazijua vzr akishakupa bakora zake??

Kumfumania mumeo kwa sms au vip sio kigezo cha wewe kurudisha kisa umemfuma sms kwa simu yake..

NB: maisha ya kupata pesa na kumiliki vingi sio kwamba ndio mafanikio pekee,,mafanikio ni kua na vingi ambavyo pesa haiwez kununua,,umefanikiwa katika sekta ya maisha ila unataka kuyachezea mafanikio yako ktk liwazo la mwili na hisia duuuh,,,kitu pekee kisichoisha kwa mwanadam yaan kisicho na limit ni uvumiliv,vumilia na muepuke sana na umkatalie kwa vitendo sio maneno...

Karibu tusikilize nyimbo ya 4 NON BLONDES- whats up

Tchao
Asante kwa ushauri japo umekuwa harsh ila nimeuchukua.
 
Ukiruhusu huyo Jamaa akafanikiwa kuwa na ww. Damu ya usaliti haitoishia hapo. Kesho utamruhusu na mwengine kwa kigezo hicho hicho kuwa mumeo Mlevi, ana wanawake nje. Mwisho utaharibu Maisha na ndoa yako.

Hata siku moja usijaribu kumfananisha au kumlinganisha Mke au Mume wako na Mtu mwengine wa nje. Mume au Mke ni nguzo ya Baraka kutoka kwa Mungu.

Changamoto za ndoa zipo, lakini kusaliti ndoa yako sio suruhisho la kumaliza changamoto hizo. Kuna wenzio wanatamani kuwa na mume wa aina yako. Ndio mana umethubutu kusema ofisini kwako kuna watu wanasema una bonge la mume.

Tumia Busara ktk kutafuta suruhu ya matatizo ya ndoa yako. Weka ndoa yako mikononi mwa Mungu na sio mikononi mwa shetani.
 
Wakuu nahitaji mawazo yenu kwa kipindi hiki cha majaribu nachopitia.
Mi nimeolewa nna miaka kama 9 kwenye ndoa na kwa kipindi hiki chote nimepitia mazuri na changamoto pia ila sikuwahi kujutia ndoa.Jamaa aliyenioa ni msomi na anajua kuitafuta hela.Kiufupi tuna maisha mazuri nina kila kitu nachokihitaji km nyumba,usafiri wa maana na two beautiful kids.

Ktk kipindi cha ndoa nimepitia changamoto kwa huyu mume wangu.Kiufupi anapenda starehe pombe kwa sana na company za washikaji.Me sio mnywaji wala sitoki kiivo nikitoka job ni home kuangalia watoto na nyumba.Kiufupi ni mke mwema flan!!yes najiamini kwa hilo.Jamaa nishafumania msg za wanawake mara kibao ila naishia kusamehe na sikuwahi kuwaza kulipiza.Huwa nasali sana nikipitia hizi changamoto na Mungu ananivusha salama.

Sasa basi kilichonifanya nilete huu uzi jamvini ni situation niliyonayo now.Kiufupi miezi km 6 iliyopita nimekutana na jamaa ktk kazi flani.Jamaa ana mvuto na alikua ananipa attention flan ivi throughout..Tuliclick haraka sana tukawa close.Ilitokea tu sijui kwa nn..Nilinotice jamaa ananicare vby sana. Mwanzo nilichukulia poa ila siku zilivoendelea kwenda nikaanza kumfeel taratibu.

The eye contact was awkward btn us na imefika mahali najiona nashindwa kuresist.Nikiwa nae under one room nashindwa kabisa napoteza uchangamfu naishiwa pozi kbs.Jamaa anaonyesha interest za wazi ila najikaza knowing kwamba am married ataniona a cheap woman.

Huwa tunaongea mambo mengi na ananieleza issues zake kibao.Kuna siku alinifungukia ila nikavunga nikamwambia its better tuwe mbalimbali coz me ni mke wa mtu na siwezi cheat on my husband.Baada ya hapo akanikaushia km wiki.Aisee nilikonda kwa mawazo.Baadae tukaanza kuwasiliana upya na jamaa anaomba kidate na mm anataka tuspend tym wawili.Kashanialika kwake mara kibao nachomoa.Imefika mahali najiona ntashindwa huko tunakoelekea siko.
Kiufupi kinachonitatiza ni haya yafuatayo:

1.jamaa anajua me ni mke wa mtu so its obvious anataka game tu hakuna mapenzi.

2.Since ni coworker baada ya game ntamwangaliaje ofcn?

3.Naogopa reputation yangu among my workmates wakijua nimetoka na jamaa since wanaume hawana siri.Aisee mi ni mdada nayejiheshimu na wananiona nina bonge la mume.

4.Namfeel mno jamaa na siimagine kupotezea hizi feeling.Ni mtu anayenifanya niwe happy muda wote,confident about myself na I feel lyk a woman again.

Wakuu nisaidieni namna nitakavyohandle hii situation maana naumia kiukweli natamani niuridhishe moyo wangu ila nawaza consequence,kumpotezea jamaa nashindwa naumia at the same time sitaki kuharibu maisha yangu.
Pole sn ila japo haeleweki jaribu kupiga moyo kondo mmvumilie mumeo km ataweza kukuacha ndio uangalie ustarabu mwingine. Endelea kua rafi yk km kawaida usipoteze urafiki. Kumchunia sio suruhu yakupoteza moyo wako unataka nn. Kwani wanajuana huyo jamaa wako na mumeo? Fata mila yako inasema nn haujafundishwa chungu lazima kikae ktk majiga ma3. Wazaramu wana mila ya haina hii ww mtu wa wapi? Ushauri fata ndoto yk fata hisia yk ndio muongozo wamaisha yk pesa inatafutwa km akivyotafuta mumeo na ndoto yk ndio itakupa pesa na mumeo mwenye malengo na ww hata mungu karuhusu kuachana japokua hapendi. Usikate tamaa ktk vi2 unavyovipenda.
 
Usijitese Kwa jambo ambalo linawezekana cha msingi mfanye siri, Kwa nini ujinyime kitu roho inatamani utajitesa bure, nakushauri mkubalie hautajuta, mbona mume wako anafanya. Hayo Mambo hayakwepeki kwenye dunia ya sasa
Acha kupotosha ...
 
Tayari ushalegea ndio unakuja hapa hata tukishauri vip lazima uliwe na ukiliwa... Ndio baasi utaliwa na tena na tena mwisho wa simu fumanizi... End of story kwa mumeo usimuone chizi ila akifumania atakuwa kichaa hutaamini... Ila sis hatuna namna ya kuzuia wew usiliwe zaidi ya kukualert kinachokuja mbele...
 
Back
Top Bottom