Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,950
- 9,880
Usijaribu kugegedwa na mfanyakazi mwenzako tena ofisi moja...
1. Hatokuheshimu
2. Hutokua huru ata ukitaka kumuacha kutakua na woga fulani na vizuizi
3. Ukipata nafasi ya juu utashindwa kumuongoza
4. Ofisini wakijua kua mke wa mtu unagegedwa na kijana hapo watakudharau tu.
Hizo ni feelings tu, trust me... Humpendi huyo kaka! Matatizo ya kwenye ndoa yako ndo yanasababisha yote hayo. Umesema wewe ni mke mwema, endelea kua mke mwema na achana na mihemko ya kijinga... Ukilala nae huyo inaonesha umekata tama kabisa katika ndoa yako, ata Mungu hawezi kukusaidia. Hurekebishi kosa kwa kosa kipenzi...
Kama unatafuta pa kutolea stress basi tafuta hobby... Nunua swimming costume kaogelee...
1. Hatokuheshimu
2. Hutokua huru ata ukitaka kumuacha kutakua na woga fulani na vizuizi
3. Ukipata nafasi ya juu utashindwa kumuongoza
4. Ofisini wakijua kua mke wa mtu unagegedwa na kijana hapo watakudharau tu.
Hizo ni feelings tu, trust me... Humpendi huyo kaka! Matatizo ya kwenye ndoa yako ndo yanasababisha yote hayo. Umesema wewe ni mke mwema, endelea kua mke mwema na achana na mihemko ya kijinga... Ukilala nae huyo inaonesha umekata tama kabisa katika ndoa yako, ata Mungu hawezi kukusaidia. Hurekebishi kosa kwa kosa kipenzi...
Kama unatafuta pa kutolea stress basi tafuta hobby... Nunua swimming costume kaogelee...