Wakuu nisaidieni namna nitakavyohandle hii situation maana naumia kiukweli natamani niuridhishe moyo wangu ila nawaza consequence,kumpotezea jamaa nashindwa naumia at the same time sitaki kuharibu maisha yangu.
Mbona sijaona kama wewe umetoa iyo solution? Mi nadhani kama ana zidiwa na hisia bora ange divorce na mume wake amuachie jamaa custody ya watoto, alafu afanye anacho taka kufanya, cheating is so evilMnajua watanzania mna matatizo sana!
huyu dada ameeleza kwa kina tatizo alilo nalo, na ameonesha kabisa kuwa she is missing something kwenye ndoa yake, na hilo gap katokea muwekezaji anataka kuziba mapengo. yeye pia ana hamu ya kuwa mwanamke tena, anajua madhara ya kutoka na workmate, anajua madhara ya kucheat ila she is trapped na huyu kijana wa kazini!
sasa kuita hizi hamu zake ni pepo, kumtaka aepukane na tamaa ni simple solution kwa tatizo kubwa!
elezea how anaweza kuepukana na hilo jaribio....!
msaidie aone kuwa anasaidika na afanye right decisions!
vinginevyo ni kumfanya dada wa watu asononeke tu, maana she will end up cheating kwa kuwa watu hamtoi masuluhisho, hamsaidii mbinu, wala nini!
Ushauri mbovu kutokeaUsijitese Kwa jambo ambalo linawezekana cha msingi mfanye siri, Kwa nini ujinyime kitu roho inatamani utajitesa bure, nakushauri mkubalie hautajuta, mbona mume wako anafanya. Hayo Mambo hayakwepeki kwenye dunia ya sasa
Acha tamaaa tamaa> dhambi> mauti achana nae kabisa penda familia yakoNawashukuru kwa mawazo yenu wapendwa.Napata nguvu ya kulishinda hili jaribu
Kwahiyo office ya mbali ndo inakuwa sahihi?achana na huyo jamaa bora angekua ofisi ya mbali sio hapo asee
Naona wanaokushauri kwenye mwelekeo wa kutafunwa ndo unaona wamekufariji mama katafunwe tu maana ushadhamilia naona ushauri nwingine unakucheleweshea adhima yako katafunwe tu mama majibu yake utayapataUmenipa nguvu sana.Hujui namna nilivyofarijika na huu ushauri.Asante sana
Hivi ww si ulisema utanitafuta nikulegeze magoti? mbona umekuwa kimya sasa au ndio tuseme umebadili gia angani?Sikiliza moyo wako, ila hiyo situation naijua hapo ushalegezwa magoti,Shida ni moja tu work mate,ila hapo huchomoi mpe tu hata kama sio leo utakuja kumpa tu😀....wanaokwambia heshima, hakunaga heshima mbele ya nyege trust me!
Cc Heaven Sent kwa ushauri to wenye povu zaidi
Sijabadili ninajipangaHivi ww si ulisema utanitafuta nikulegeze magoti? mbona umekuwa kimya sasa au ndio tuseme umebadili gia angani?
Na ujipange tu maana mziki wa kimasai sio wa kitoto aisee.Sijabadili ninajipanga