Lorna my dear pole sana na maswahiba yanayokukuta. Amini nakwambia yanawakuta wakina dada wengi. Ni hivi, sisi wanaume ni wajanja sana. Tunajua kuwa wake za watu are yearning for attention. Kuna tatizo ndoa nyingi za siku hizi wanandoa kujisahau both wanaume na wanawake. Binafsi, nimeshatembea na wake za watu zaidi ya wanne. Hawakuwahi kuniomba pesa wala favor yoyote. Nimegundua attention ndio silaha kuu katika kuwala wanawake wapweke. Vitu vidogo sana kama salamu, checking on her, chocolate, na vizawadi vidogo vidogo tu vinawachanganya. Siamini kuwa wewe ni ma.laya kutokana na uliyoyasema. Naamini ni mwanamke decent tu unayetaka kufanya kosa kubwa ambalo madhara yake huyajui na hutakaa kuyasahau ukiamua kuchepuka. Kwa taarifa yako ni kuwa ukimpa jamaa tunda tu ujue umekwisha. Atakuvuruga zaidi na utaharibu ndoa yako. Wake za watu mnakuwaga na wivu sana kwa michepuko yenu. Utakuja kugundulika tu. Somehow women cant control their emotions. Hawa wake za watu niliotembea nao hata leo nikitaka napiga tena. Nakushauri usishindane na mume wako katika kuchepuka. Wewe ni mama wa watoto na ndiye unayeshika familia pamoja. Pindi utakapochepuka na kuachika jamii yote itanyoosha kidole kwako na kukuita mzinzi. Ndoa utakosa, watoto watataabika na kukuchukia, familia na ndugu watakudharau na kibaya zaidi huyo mchepuko wako atakuacha. Steer clear of playaz, ni wanaume hatari sana kwa sababu wanaelewa saikolojia ya wanawake ambayo kwa bahati mbaya inafanana kwa wanawake wote. Atakwambia what you want to hear and do things you want done. Lakini yote ni kukutengeneza tu. Trust me, naongea from first hand experience. Utaumia.