Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

Tatizo lako ni kukaa kimya na kumezea anayofanya mumeo,sidhani km unampenda huyo coworker wako bali nahisi umechoka tu anayofanya mumeo bila kificho,kawaida mwanaume akistukiwa kuwa anachepuka hubadili mbinu ili next time usimkamate na mwanaume asiyekamatwa na mkewe kuwa anachepuka tunatafsiri anamheshim mkewe na hivyo hafanyi mambi yake kizembe.

Nakushauri tulia,ukifuma tena ushahidi wa text msgs za michepuko kuwa mbogo uone atakavyojerekebisha,sio kwa kuacha michepuko bali kwa kuchepuka kwa heshima maana iko wazi hakuna mwanaume asiyechepuka.

La kuongeza,huyo jamaa anakupa attention kwa sababu bdo hajakugegeda.
 
kwakweli ingekuwa match ya mbali ningekwambia nenda Mara moja urudi ila nyumbani NAY
nimependa sababu ulizozitoa hapo
 
Una akili sana japo unataka kupotoshwa kidogo huyo jamaa atakuwa anawaambia watu soon nakula huyu mke watu so ukiliwa tuu watu wote watajua na ndio Target ya huyoo .take time with your husband achana na huyoo mtu anataka kukuchafua tuu hapo
 
Dhambi huwa inabembeleza kisha ina angamiza
Hayo yote nje ya ndoa ni kujilisha upepo ..
Kaa chini na mumeo au jaribu kumueleza vile unavyo penda kutendewa ktk ndoa
 
Nakubaliana nawe kabisaa ila mazoea mabaya ndo maana ilikua ngumu kucut off.La kumuona kila siku na kukaushiwa ndo haswaa penye mtihani maana kila nikiwaza hilo pozi linaisha.

pole sana bibie, uzuri wa jf naamini wahusika watapitia uzi huu na na hata kama umebadilisha stori kidogo watakuelewa na kukusaidia kutatua tatizo linalokukabili
 
Nikiona li mke la mtu linawaka tamaa sijui najisikiaje aisee.hata hujiongezi hiyo tamaa kua ni shetani anakupeleka mtegoni akunase na akuharibie kila kitu.mbaya zaidi eti unasema hua unasali...aiseee...sijui utokee hapa karibu yangu nikunase likibao moja mpaka upate kizungu zungu.
 
Nikiona li mke la mtu linawaka tamaa sijui najisikiaje aisee.hata hujiongezi hiyo tamaa kua ni shetani anakupeleka mtegoni akunase na akuharibie kila kitu.mbaya zaidi eti unasema hua unasali...aiseee...sijui utokee hapa karibu yangu nikunase likibao moja mpaka upate kizungu zungu.
Watu bhana
 
Nikiona li mke la mtu linawaka tamaa sijui najisikiaje aisee.hata hujiongezi hiyo tamaa kua ni shetani anakupeleka mtegoni akunase na akuharibie kila kitu.mbaya zaidi eti unasema hua unasali...aiseee...sijui utokee hapa karibu yangu nikunase likibao moja mpaka upate kizungu zungu.

Kwa hiyo usichopenda ni Mke la Mtu kuchepuka ila likiwa Li Mme la Mtu kwako siyo shida au Vipi?! You are not fair at all nauona Mfumo Dume katika Ubora wake! Yani ni kana kwamba Kwa mwanaume kuchepuka siyo vibaya isipokuwa Kwa mwanamke ndo vibaya kemea kwa pande zote mbili me Na ke !
 
Wakuu nahitaji mawazo yenu kwa kipindi hiki cha majaribu nachopitia.
Mi nimeolewa nna miaka kama 9 kwenye ndoa na kwa kipindi hiki chote nimepitia mazuri na changamoto pia ila sikuwahi kujutia ndoa.Jamaa aliyenioa ni msomi na anajua kuitafuta hela.Kiufupi tuna maisha mazuri nina kila kitu nachokihitaji km nyumba,usafiri wa maana na two beautiful kids.

Ktk kipindi cha ndoa nimepitia changamoto kwa huyu mume wangu.Kiufupi anapenda starehe pombe kwa sana na company za washikaji.Me sio mnywaji wala sitoki kiivo nikitoka job ni home kuangalia watoto na nyumba.Kiufupi ni mke mwema flan!!yes najiamini kwa hilo.Jamaa nishafumania msg za wanawake mara kibao ila naishia kusamehe na sikuwahi kuwaza kulipiza.Huwa nasali sana nikipitia hizi changamoto na Mungu ananivusha salama.

Sasa basi kilichonifanya nilete huu uzi jamvini ni situation niliyonayo now.Kiufupi miezi km 6 iliyopita nimekutana na jamaa ktk kazi flani.Jamaa ana mvuto na alikua ananipa attention flan ivi throughout..Tuliclick haraka sana tukawa close.Ilitokea tu sijui kwa nn..Nilinotice jamaa ananicare vby sana. Mwanzo nilichukulia poa ila siku zilivoendelea kwenda nikaanza kumfeel taratibu.

The eye contact was awkward btn us na imefika mahali najiona nashindwa kuresist.Nikiwa nae under one room nashindwa kabisa napoteza uchangamfu naishiwa pozi kbs.Jamaa anaonyesha interest za wazi ila najikaza knowing kwamba am married ataniona a cheap woman.

Huwa tunaongea mambo mengi na ananieleza issues zake kibao.Kuna siku alinifungukia ila nikavunga nikamwambia its better tuwe mbalimbali coz me ni mke wa mtu na siwezi cheat on my husband.Baada ya hapo akanikaushia km wiki.Aisee nilikonda kwa mawazo.Baadae tukaanza kuwasiliana upya na jamaa anaomba kidate na mm anataka tuspend tym wawili.Kashanialika kwake mara kibao nachomoa.Imefika mahali najiona ntashindwa huko tunakoelekea siko.
Kiufupi kinachonitatiza ni haya yafuatayo:

1.jamaa anajua me ni mke wa mtu so its obvious anataka game tu hakuna mapenzi.

2.Since ni coworker baada ya game ntamwangaliaje ofcn?

3.Naogopa reputation yangu among my workmates wakijua nimetoka na jamaa since wanaume hawana siri.Aisee mi ni mdada nayejiheshimu na wananiona nina bonge la mume.

4.Namfeel mno jamaa na siimagine kupotezea hizi feeling.Ni mtu anayenifanya niwe happy muda wote,confident about myself na I feel lyk a woman again.

Wakuu nisaidieni namna nitakavyohandle hii situation maana naumia kiukweli natamani niuridhishe moyo wangu ila nawaza consequence,kumpotezea jamaa nashindwa naumia at the same time sitaki kuharibu maisha yangu.
Mi naomba nikutukane: Wewe ni mpumbavu mkubwa.
 
Ushauri wangu ni huu kama unajiona upo cheap sana mpe tu, lakini hakuna kitu kizuri kama heshima hasa katika jamii, hisia ni zako, utu( hicho cha ndani, ndani ya nanii..) ni chako, akili ni zako, kwa hiyo maamuzi ni yako Mama. Dah umeweza kuvumilia miaka 9, unakuja kubadilika leo!!!.
 
Ama kweli mwalimu wao kipofu, yaani umesha jisahau Mara.......
 
Wakuu nahitaji mawazo yenu kwa kipindi hiki cha majaribu nachopitia.
Mi nimeolewa nna

1.jamaa anajua me ni mke wa mtu so its obvious anataka game tu hakuna mapenzi.

2.Since ni coworker baada ya game ntamwangaliaje ofcn?

3.Naogopa reputation yangu among my workmates wakijua nimetoka na jamaa since wanaume hawana siri.Aisee mi ni mdada nayejiheshimu na wananiona nina bonge la mume.

4.Namfeel mno jamaa na siimagine kupotezea hizi feeling.Ni mtu anayenifanya niwe happy muda wote,confident about myself na I feel lyk a woman again.

Wakuu nisaidieni namna nitakavyohandle hii situation maana naumia kiukweli natamani niuridhishe moyo wangu ila nawaza consequence,kumpotezea jamaa nashindwa naumia at the same time sitaki kuharibu maisha yangu.
amini usiamini, kuna siku utarudi hapa una regret kwanini umepoteza ramani ya maisha yako yote kwa kulala tu na huyo jamaa kwa walau siku moja. itakugarimu sana. jiandae kisaikolojia kabla ya kufanya lolote.
 
Wakuu nahitaji mawazo yenu kwa kipindi hiki cha majaribu nachopitia.
Mi nimeolewa nna miaka kama 9 kwenye ndoa na kwa kipindi hiki chote nimepitia mazuri na changamoto pia ila sikuwahi kujutia ndoa.Jamaa aliyenioa ni msomi na anajua kuitafuta hela.Kiufupi tuna maisha mazuri nina kila kitu nachokihitaji km nyumba,usafiri wa maana na two beautiful kids.

Ktk kipindi cha ndoa nimepitia changamoto kwa huyu mume wangu.Kiufupi anapenda starehe pombe kwa sana na company za washikaji.Me sio mnywaji wala sitoki kiivo nikitoka job ni home kuangalia watoto na nyumba.Kiufupi ni mke mwema flan!!yes najiamini kwa hilo.Jamaa nishafumania msg za wanawake mara kibao ila naishia kusamehe na sikuwahi kuwaza kulipiza.Huwa nasali sana nikipitia hizi changamoto na Mungu ananivusha salama.

Sasa basi kilichonifanya nilete huu uzi jamvini ni situation niliyonayo now.Kiufupi miezi km 6 iliyopita nimekutana na jamaa ktk kazi flani.Jamaa ana mvuto na alikua ananipa attention flan ivi throughout..Tuliclick haraka sana tukawa close.Ilitokea tu sijui kwa nn..Nilinotice jamaa ananicare vby sana. Mwanzo nilichukulia poa ila siku zilivoendelea kwenda nikaanza kumfeel taratibu.

The eye contact was awkward btn us na imefika mahali najiona nashindwa kuresist.Nikiwa nae under one room nashindwa kabisa napoteza uchangamfu naishiwa pozi kbs.Jamaa anaonyesha interest za wazi ila najikaza knowing kwamba am married ataniona a cheap woman.

Huwa tunaongea mambo mengi na ananieleza issues zake kibao.Kuna siku alinifungukia ila nikavunga nikamwambia its better tuwe mbalimbali coz me ni mke wa mtu na siwezi cheat on my husband.Baada ya hapo akanikaushia km wiki.Aisee nilikonda kwa mawazo.Baadae tukaanza kuwasiliana upya na jamaa anaomba kidate na mm anataka tuspend tym wawili.Kashanialika kwake mara kibao nachomoa.Imefika mahali najiona ntashindwa huko tunakoelekea siko.
Kiufupi kinachonitatiza ni haya yafuatayo:

1.jamaa anajua me ni mke wa mtu so its obvious anataka game tu hakuna mapenzi.

2.Since ni coworker baada ya game ntamwangaliaje ofcn?

3.Naogopa reputation yangu among my workmates wakijua nimetoka na jamaa since wanaume hawana siri.Aisee mi ni mdada nayejiheshimu na wananiona nina bonge la mume.

4.Namfeel mno jamaa na siimagine kupotezea hizi feeling.Ni mtu anayenifanya niwe happy muda wote,confident about myself na I feel lyk a woman again.

Wakuu nisaidieni namna nitakavyohandle hii situation maana naumia kiukweli natamani niuridhishe moyo wangu ila nawaza consequence,kumpotezea jamaa nashindwa naumia at the same time sitaki kuharibu maisha yangu.
Majaribu au unajijaribu mwenuewe.....
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kwa hiyo usichopenda ni Mke la Mtu kuchepuka ila likiwa Li Mme la Mtu kwako siyo shida au Vipi?! You are not fair at all nauona Mfumo Dume katika Ubora wake! Yani ni kana kwamba Kwa mwanaume kuchepuka siyo vibaya isipokuwa Kwa mwanamke ndo vibaya kemea kwa pande zote mbili me Na ke !
We nae unaongea nini...kuna mahala nimetetea mume wa mtu kuchepuka?ww vipi aisee..
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom