Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

tatizo kuubwa kabisa ni kwamba ukishaanza na huyo hautaishia hapo. Utaenda na kwa mwingine na mwingine. Achana naye kabisa huyo. Simama kwenye ndoa yako dada.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Naona point ya 4 ndo inakumaliza, jitahidi uifute ubaki na zile 3 naamini zitakusaidia.
 
Haya huwa ni matokeo ya sisi wanaume. Kama hujajifunza mwanamke anataka nini utaendelea kuamini kwamba mwanamke anahitaji pesa, magari nk lakini sio, mfano huyu mleta mada yeye anahitaji attention, care na company ya mumewe tu hizi mali ni kachumbali katika pilau, jifunze hilo utaoa
kuna wanawake pesa wanapata attention wanapata lakini bado hawaridhiki
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kabisa,
Kujua game ni bonus...!
Kuwa na mali ni bonus...!
Care ndio msingi wa ndoa au mahusiano, so Cash na ujuzi wa game vinapaswa ku-add values kwenye care na sio to substitute hayo ma - Care!
Huyu dada anatoa "nyapu" bure kabisa kwa kijana aliyejua kufanya timing kwa mwanamke aliyekuwa compromised sababu ya kukosa ma-kiss tu ya ki-isidingo!
Kuwa wengine care lakini hawajui ku appreciate
 
  • Thanks
Reactions: SDG
kuna wanawake pesa wanapata attention wanapata lakini bado hawaridhiki
Hao wa hivyo hawawezi kukosa, lakini amini kabisa asilimia kubwa ya wanawake wakipata hayo wanaridhika
tatizo kuubwa kabisa ni kwamba ukishaanza na huyo hautaishia hapo. Utaenda na kwa mwingine na mwingine. Achana naye kabisa huyo. Simama kwenye ndoa yako dada.
 
Ukishakubali ukampa hio MKURANGA yako, jua umewadharirisha wanao, mmeo, wazazi, ndugu na kila yule alie karbu yako, jamaa na wengne atakao wasimulia watakua wakiwaona n madharau tuuu,

watoto wataitwa wa malaya, wazazi wataambiwa wamelea na kuzaa malaya, mume ataambiwa kaoa malaya, ww mwenyewe utajibatiza kwa jina la malaya. haijalsh umechepuka mara ngap, hio moja tuu inatosha kuvunja heshma yote.
Many more evidence dat don trust women,
 
Ukishakubali ukampa hio MKURANGA yako, jua umewadharirisha wanao, mmeo, wazazi, ndugu na kila yule alie karbu yako, jamaa na wengne atakao wasimulia watakua wakiwaona n madharau tuuu,

watoto wataitwa wa malaya, wazazi wataambiwa wamelea na kuzaa malaya, mume ataambiwa kaoa malaya, ww mwenyewe utajibatiza kwa jina la malaya. haijalsh umechepuka mara ngap, hio moja tuu inatosha kuvunja heshma yote.
Many more evidence dat don trust women,
Kwani heshima sh ngapi mkuu , muache dada wa watu afanye kitu roho inapenda.

Ikisimama apande tu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kuna ishu ya magonjwa usiweke nyege mbele.unamjua vizuri au umefuatlia ? Atakugonga then atakuachia manyoyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
yaaan kidoooogo angeniambia jamaa nae ameoa pengne anaweza mtunzia siri, ila bachela km mm lazma niweke mabango
Kuna mahali naona amesema jamaa ni mme wa mtu kama sjakosea. Pitia tena utaona
 
mi wanawake ya kiafrika mi malaya sana ..
Jiheshimu Mkuu, kama unakibamia ukaachwa hilo ni jambo jengine. Mbona huyo mwanaume wa huyu mtoa mada hujamponda ila aliyefikwa na jaribu anaomba ushauri ndo utukane wanawake wote? Looooooh
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono take.be watchful my dear
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom