Nimeokota peni ya ajabu


Ushauri mzur sana. Binadamu sio wa kuamini. Unaweza kushangaa hata huyo jirani akamfanyia umafia. Na huyo jirani anaweza kupayuka akamuingiza kwny matatizo. Kwa hali hyo ningekuwa mm ningehama kwa muda mtaa bila taarifa kwa mtu yeyote.
 
Utapeli UtapeliWork
Kesho atakuja mtu kulalamika katapeliwa hela hapa
Utapeli UtapeliWork
Kesho atakuja mtu kulalamika katapeliwa hela hapa
Hongera sana bro! Ucende na hiyo pen ila nenda madini hya tena baadh so yote. Umeagana na ukapuku.
By
Kumbe ni wewe ndio umeiokota enheeee..?
Kuwa makini hata na PM za humu.
Kuwa makini sana na maisha yako tangia sasa... Unapotoka jitahidi asijue yeyote yule hata ndugu yako wa damu. Kosa kubwa umemjulisha mpaka jirani!
Usikurupuke utaweka maisha yako rehani kwa mda nfupi sana
Kweli duniani Si mahala salama tena, Tumsifu Yesu kristu
 
Hilo jini bro
 
nilikuwa nataka kujua kilichopo ndani

Aaaarrgghh.. umeharibu bana.. kwnn uvunje lkn..? Ungechukua muda kuijua vizuri thamani yake etc.. ungeingia hata google kujua zaidi.. sasa umeivunja haraka sana.. huenda ndio ingekuwa baraka na bahati yako kimiujiza, hiyo peni ingekupa maisha mapya.. hayo mambo yapo.. sasa ww umeivunja haraka hivyo..?

 
Haaa Umeokata Mali Ama Zile Za Wapigaji!!
 
Hyo ni diamonds sema kua makini....
umeshakata kioo??
 
weweeeeeeeeeeeeee...madini hayo mkuu...kayauze faster...umenitusuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…