Nimeokota peni ya ajabu

Nimeokota peni ya ajabu

Mnatuletea style za wizi wa kizamani..mtawapata hao hao maboya wenzenu nyambaf
 
Jana katika matembezi yangu ya kutafuta AJIRA mitaa ya Indira Ghandi kule mnazi mmoja, nikapita sehemu moja inaitwa GoldePlaza, ndipo nikaokota peni iliyoandikwa "QUEEN'S GEM & JEWELLERY DAR ES SALAAM" hii peni ni nzito kiasi na ni ya kioo, nilibaki nayo na kurudi nayo hadi home Tabata.

Sasa jana usiku nilipatwa na mshangao baada ya kuona kile kioo kilichopo kwenye peni kutoa mwanga wa ajabu baada ya kuiweka juu ya meza, ilibidi niitoe na kuiweka kwenye bag, leo asubuhi nimeitoa na kuikagua vizuri na hadi sasa nimefikia hatua ya kuivunja na ndani nimekuta vijiwe vinang'aa sana ni kama almasi."sijui sina sifa za madini ya almasi ni zipi"

Kwa yoyote mwenye msaada katika hili anisaidie maana inaweza ikawa ndio nimetusua kwa style hii.

1469262387252-jpg.369687


Iyo peni inafugia maruhani na majini
 
rudisha peni yangu haraka sana nimeitafuta jana nilipoiangusha kumbe wewe ndio umeiokota na hayo madini usipoteze hata punje moja maana ndio thamani yenyewe ya peni. Ni pm nimtume mtu aje kuichukua haraka
 
Unatafuta wa kumla kichwa wewe sio bure.. almasi hata kama ni mara yako ya kwanza kuiona utaijua tu huitaj kuuliza mtu... nachokiona unatafta mtu aingie kichwa kichwa umle kitoga
ndio naenda kuchek now
 
Jana katika matembezi yangu ya kutafuta AJIRA mitaa ya Indira Ghandi kule mnazi mmoja, nikapita sehemu moja inaitwa GoldePlaza, ndipo nikaokota peni iliyoandikwa "QUEEN'S GEM & JEWELLERY DAR ES SALAAM" hii peni ni nzito kiasi na ni ya kioo, nilibaki nayo na kurudi nayo hadi home Tabata.

Sasa jana usiku nilipatwa na mshangao baada ya kuona kile kioo kilichopo kwenye peni kutoa mwanga wa ajabu baada ya kuiweka juu ya meza, ilibidi niitoe na kuiweka kwenye bag, leo asubuhi nimeitoa na kuikagua vizuri na hadi sasa nimefikia hatua ya kuivunja na ndani nimekuta vijiwe vinang'aa sana ni kama almasi."sijui sina sifa za madini ya almasi ni zipi"

Kwa yoyote mwenye msaada katika hili anisaidie maana inaweza ikawa ndio nimetusua kwa style hii.

1469262387252-jpg.369687
Hiyo ni ya sonara yupo mitaa ya India maeneo ya Posta.Sidhani kama ina valu yeyote ni peni ya ofisi tu katika promo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom