ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,072
- 858,572
Afu ninavyo lipenda. .... MOTHER MAMA MOON SUN STAR. .UNIVERSAL. ...EVERYTHINGPlease dadavua Isis ...
Afu ninavyo lipenda. .... MOTHER MAMA MOON SUN STAR. .UNIVERSAL. ...EVERYTHINGPlease dadavua Isis ...
OSIRIS ISIS NA HORUSWhat do you mean.?? I don't understand you
Jina gani unalipenda .?Afu ninavyo lipenda. .... MOTHER MAMA MOON SUN STAR. .UNIVERSAL. ...EVERYTHING
IsisJina gani unalipenda .?
IN JESUS'NAME
Wale wale.. dugu mojaSuala hapa sio tu ushirika bali kutoana Roho Live kwa ajili ya diamond ni kawaida sana . Pia kumbuka huyo muokotaji anaonekana kuwa mgeni kwenye madini. We call it blood diamond
Namwambia kijana mwezenu (mwanangu) aanze kuzurula mjini maana bado hajapata ajira...!!ndio faida ya kutembea tembea tu mjini hata kama huna ajira kuliko kukaa tu home, urudi kutupa mrejesho

Jana katika matembezi yangu ya kutafuta AJIRA mitaa ya Indira Ghandi kule mnazi mmoja, nikapita sehemu moja inaitwa GoldePlaza, ndipo nikaokota peni iliyoandikwa "QUEEN'S GEM & JEWELLERY DAR ES SALAAM" hii peni ni nzito kiasi na ni ya kioo, nilibaki nayo na kurudi nayo hadi home Tabata.
Sasa jana usiku nilipatwa na mshangaobaada ya kuona kile kioo kilichopo kwenye peni kutoa mwanga wa ajabu baada ya kuiweka juu ya meza, ilibidi niitoe na kuiweka kwenye bag, leo asubuhi nimeitoa na kuikagua vizuri na hadi sasa nimefikia hatua ya kuivunja na ndani nimekuta vijiwe vinang'aa sana ni kama almasi."sijui sina sifa za madini ya almasi ni zipi"
Kwa yoyote mwenye msaada katika hili anisaidie maana inaweza ikawa ndio nimetusua kwa style hii.
![]()
Namwambia kijana mwezenu (mwanangu) aanze kuzurula mjini maana bado hajapata ajira...!!
![]()
pAliepata kapata , aliekosa kakosa, usisahua PIA kuwa Mtembea bure SI sawa na mkaa bure huenda akaokota
sawa kakamrejesho uje mapema hapa ndugu
hakuna tatizo nipo mnaz mmojakama ulivyotuhadithia jinsi ulivyoiokota hyo peni,basi tunakuomba mkuu utuhadithie jinsi ulivyoenda huko kupima na mambo yaliyotokea huko.na suluhisho ni nini
ndio naenda kuchek nowUnatafuta wa kumla kichwa wewe sio bure.. almasi hata kama ni mara yako ya kwanza kuiona utaijua tu huitaj kuuliza mtu... nachokiona unatafta mtu aingie kichwa kichwa umle kitoga
Hiyo ni ya sonara yupo mitaa ya India maeneo ya Posta.Sidhani kama ina valu yeyote ni peni ya ofisi tu katika promo.Jana katika matembezi yangu ya kutafuta AJIRA mitaa ya Indira Ghandi kule mnazi mmoja, nikapita sehemu moja inaitwa GoldePlaza, ndipo nikaokota peni iliyoandikwa "QUEEN'S GEM & JEWELLERY DAR ES SALAAM" hii peni ni nzito kiasi na ni ya kioo, nilibaki nayo na kurudi nayo hadi home Tabata.
Sasa jana usiku nilipatwa na mshangaobaada ya kuona kile kioo kilichopo kwenye peni kutoa mwanga wa ajabu baada ya kuiweka juu ya meza, ilibidi niitoe na kuiweka kwenye bag, leo asubuhi nimeitoa na kuikagua vizuri na hadi sasa nimefikia hatua ya kuivunja na ndani nimekuta vijiwe vinang'aa sana ni kama almasi."sijui sina sifa za madini ya almasi ni zipi"
Kwa yoyote mwenye msaada katika hili anisaidie maana inaweza ikawa ndio nimetusua kwa style hii.
![]()